bandeko andeko
JF-Expert Member
- Oct 20, 2021
- 744
- 1,264
Baadhi ya wasanii imeonekana kuwa wana maisha mazuri sana ila tatizo linaanza wakiugua miongoni mwao wameshindwa kumudu gharama za matibabu kupelekea kutembeza bakuli ili wapate misaada ya kugharamia matibabu yao.
Nimejiuliza hili baada ya kuiona habari ya msanii mr. Ibu wa Nigeria.
Nimejiuliza hili baada ya kuiona habari ya msanii mr. Ibu wa Nigeria.