Kwanini hakuna Official Trip ya Rais Samia nchini Uingereza?

Kijakazi

JF-Expert Member
Jun 26, 2007
6,410
8,911
Tangia Rais Samia aanze Uraisi ni zaidi ya mwaka sasa, lkn mpaka leo hii hajawahi kufanya ziara maalumu ya kiserikali nchini Uingereza, najua mtakuja na majibu ya sijui Ukoloni, lkn msisahahu mlisema mnafungua nchi na ninyi siyo Kisiwa na kwamba ni sehemu ya English empire au Commonwealth wakati mmechukuwa power

Sasa kwa nini mpaka leo hii hakuna official ziara nchini Uingereza, hii siyo kawaida,je labda hatuna Uhusiano mzuri na nchi ya Uingereza au ni nini?
 
Ziara nyingi hasa kwenye mataifa makubwa huwa zinakua official huku Lakini kule nao huwa wanastukizwa tu yaani huwa tunajialika. Ukiona rais anapokelewa na waziri basi huko ulikotaja atapokelewa na dereva wa mbunge au balozi wake.

Tunajipendekeza Sana mpaka tumechokwa na viongozi hawaoni umuhimu wetu kwao. Sisi tunakoonekana wamaana kidogo ni Uarabuni
 
why uingereza, ataenda tu!?! anaenda kwa wale wanaoweza kutupiga jeki kwa haraka, achana na walaghai waingereza, halafu tuko nao comonwealth tunawasiliana nao kila siku.
 
Tangia Rais Samia aanze Uraisi ni zaidi ya mwaka sasa, lkn mpaka leo hii hajawahi kufanya ziara maalumu ya kiserikali nchini Uingereza, najua mtakuja na majibu ya sijui Ukoloni, lkn msisahahu mlisema mnafungua nchi na ninyi siyo Kisiwa na kwamba ni sehemu ya English empire au Commonwealth wakati mmechukuwa power

Sasa kwa nini mpaka leo hii hakuna official ziara nchini Uingereza, hii siyo kawaida,je labda hatuna Uhusiano mzuri na nchi ya Uingereza au ni nini?
Acheni makasiliko jamani Daah akisafiri shida asiposafiri shida kila kitu kipo under control kwaiyo kama ni muhimu kwenda ataenda tu
 
why uingereza, ataenda tu!?! anaenda kwa wale wanaoweza kutupiga jeki kwa haraka, achana na walaghai waingereza, halafu tuko nao comonwealth tunawasiliana nao kila siku.
Watanzania now days wanakua na makasiliko sana kana ulivyosema ni kweli anaenda sehemu kwenye maslahi ya haraka na uhakika
 
Acheni makasiliko jamani Daah akisafiri shida asiposafiri shida kila kitu kipo under control kwaiyo kama ni muhimu kwenda ataenda tu

Lakini wanapenda kusafiri, hivyo siyo kwamba hawajaenda Uingereza kwa sababu ya manung‘uniko ya watu kuhusu safari, hilo haliwanyimi usingizi hata kidogo!
 
Kama unataka uthibitishe Kuwa ngoz nyeusi uingereza tunaonekana ni vibwengo...tazama clip inayoonyesha king Charles anavyoruka kushikana mkono na black mamba mmoja mle
 
Waarabu lzm watuone wamaana kwasababu tunawapelekea wanyamapori wakiwa hai

Pia waarabu ni mangumbaru wenzetu


Ziara nyingi hasa kwenye mataifa makubwa huwa zinakua official huku Lakini kule nao huwa wanastukizwa tu yaani huwa tunajialika. Ukiona rais anapokelewa na waziri basi huko ulikotaja atapokelewa na dereva wa mbunge au balozi wake.

Tunajipendekeza Sana mpaka tumechokwa na viongozi hawaoni umuhimu wetu kwao. Sisi tunakoonekana wamaana kidogo ni Uarabuni
 
Back
Top Bottom