KIM KARDASH
JF-Expert Member
- Sep 21, 2011
- 5,139
- 1,139
Wadau mimi niko na swali kwa muda mrefu limenikaa kichwani na kinywani pia!hivi kwanini hakunaga mtangazaji wa kipindi cha taarab wa kiume?hii ni kote kote kwenye tv na redio stations zote bongo?au ajira hizo zinztolewa kwa upendeleo kwa kina mama tu au kuna shida gani hapa tujue kama shida ni kwa kina baba tuwasaidie kama kwa kina mama tufunguke ....kwanini ni kina gea,mishi,dida,miriam migomba,vai mzindakaya n.k.