Habarii.
Tuliondoa makabila na jamii ndogo tuwe Taifa ili kuwa na nguvu lakini hiyo nguvu iko wapi leo ndani ya miaka 61 ya uhuru na watu million 60 plus?, nasikia wanasemeaga nguvu kazi ikiwa kubwa ndo na Taifa linaimarika zaidi sisi hawa watu million 60 wanachagiza ukuaji wa nini? Nini maana ya kuwa Taifa ikiwa maisha kila siku hayana matumaini? Hata chakula changamoto kwa baadhi ya watu, nishati changamoto, usafirishaji changamoto hata mental health changamoto! Machizi ni wengi kuliko wazima. Ama ndo wingi si hoja?
Wataalamu wa uchumi mnisaidie kwanini Tanzania kila awamu gharama za vitu inapandaa tuu bila balance na maisha ya wanachi kupanda pia , graph aijawai kushuka hii toka nipate akili.
Miaka miwili tu ya mama samia nauli ,sijui vyakula, sjui gharama za mawasiliano vyote vimeenda juu, hakuna pa kushika jua kali sana tumboni na mifukoni.
Hivi I haliii ni lazima itokee na haiwezi kuzuilika? Huko mataifa ya wenzetu mambo ni haya haya au wao wanabalance veep maisha ya watu na gharama za maisha,
Haiwezekani Taifa letu kufikia siku vyakula na gharama zingine zikashuka kwenye kiwango ambacho kila mtu aka feel life limekuwa rahisi? Kila awamu ni afadhali ya jana
Tiba ya haya ni nini au ndo tusubiri yesu ashuke hakuna wa kututoa huku.
Tuliondoa makabila na jamii ndogo tuwe Taifa ili kuwa na nguvu lakini hiyo nguvu iko wapi leo ndani ya miaka 61 ya uhuru na watu million 60 plus?, nasikia wanasemeaga nguvu kazi ikiwa kubwa ndo na Taifa linaimarika zaidi sisi hawa watu million 60 wanachagiza ukuaji wa nini? Nini maana ya kuwa Taifa ikiwa maisha kila siku hayana matumaini? Hata chakula changamoto kwa baadhi ya watu, nishati changamoto, usafirishaji changamoto hata mental health changamoto! Machizi ni wengi kuliko wazima. Ama ndo wingi si hoja?
Wataalamu wa uchumi mnisaidie kwanini Tanzania kila awamu gharama za vitu inapandaa tuu bila balance na maisha ya wanachi kupanda pia , graph aijawai kushuka hii toka nipate akili.
Miaka miwili tu ya mama samia nauli ,sijui vyakula, sjui gharama za mawasiliano vyote vimeenda juu, hakuna pa kushika jua kali sana tumboni na mifukoni.
Hivi I haliii ni lazima itokee na haiwezi kuzuilika? Huko mataifa ya wenzetu mambo ni haya haya au wao wanabalance veep maisha ya watu na gharama za maisha,
Haiwezekani Taifa letu kufikia siku vyakula na gharama zingine zikashuka kwenye kiwango ambacho kila mtu aka feel life limekuwa rahisi? Kila awamu ni afadhali ya jana
Tiba ya haya ni nini au ndo tusubiri yesu ashuke hakuna wa kututoa huku.