huyu jamaa sijui wa wapi yani kanikera kweli kwa comment yake lazma atakua Nshomile huyu lazima tu. Anataka kutuaminisha kuwa kitu kuwa kizuri ni mpaka yeye akipende. Kuku sana huyu jamaaKwani Lazima kuiga kila kitu? Sababu Mr Bean kafanya vile imekua sheria kwamba hata wachekeshaji wabongo waige? Halafu Mr Bean ni vitendo wakati Hart ni maneno huoni kwamba unaji contradict mwenyewe vipi watu wasioelewa lugha anayotumia Hart(English). Unajidai wa mbele wakati unaishi Ombokoro
Mzee umelenga mulemule!Majibu yake ni marahisi kama siyo mepesi sana Mkuu....
Hawa ' Jamaa '....
- Hawajui ' kujipendekeza ' wala ' kujikomba ' kwa Mtu na hawaendekezi sana ' njaa '.
- Wanapambana sana na kujituma mno wenyewe.
- Hawataki kujihusisha na kuwa ' mabegi ' ya Drugs barons wa Tanzania kama wanavyofanyiwa wengine.
- Wanaridhika na kumshukuru Mwenyezi Mungu sana kwa chochote kile anachowapa kwa ' Jasho ' lao na kamwe hawapendi ' magumashi ' kama wenzao wengi.
- Tungo zao nyingi tena 100% ni za ukweli mtupu na usisahau kuwa 100% ya Watanzania hatupendi kuambiwa ukweli.
hapana,kipindi kipo tangu siku nyingi kwa hyo hatutazami,ndiyo wabongo walivyo,ila jamaa wazuriJamaa wapo fiti sana hasa MKWERE....labda kwa sababu hawatafuti kiki.
mizengwe ukweli wapo vizuri hawalazimishi watu kucheka ila utacheka mwenyewe tu alafu wamebezi kwenye reality achana na zecomedy kijiwe cha misifa na majungu wao kusema watuKwani tanzania kuna Comedian?
hahaaaaa wajifunze kwa wenzao basi
sio kuchekesha maneno bali vitendo. kama maneno kwa asiejua lugha hiyo je?
hawaoni wanavochekeaha wenzao kina Mr Bean kina Chaplain au Kelvn Hart...
ndomaana me siangaliagi utumbo huo wa Mizengwe nk.
Kwani tanzania kuna Comedian?
hahaaaaa wajifunze kwa wenzao basi
sio kuchekesha maneno bali vitendo. kama maneno kwa asiejua lugha hiyo je?
hawaoni wanavochekeaha wenzao kina Mr Bean kina Chaplain au Kelvn Hart...
ndomaana me siangaliagi utumbo huo wa Mizengwe nk.
Sasa sijui unataka tuambia huyo Kevin Hart huwa anafanya vitendo bila maneno kwenye stand up comedy. Nahisi hujui unachokizungumzia.Kwani tanzania kuna Comedian?
hahaaaaa wajifunze kwa wenzao basi
sio kuchekesha maneno bali vitendo. kama maneno kwa asiejua lugha hiyo je?
hawaoni wanavochekeaha wenzao kina Mr Bean kina Chaplain au Kelvn Hart...
ndomaana me siangaliagi utumbo huo wa Mizengwe nk.
No.3Majibu yake ni marahisi kama siyo mepesi sana Mkuu....
Hawa ' Jamaa '....
- Hawajui ' kujipendekeza ' wala ' kujikomba ' kwa Mtu na hawaendekezi sana ' njaa '.
- Wanapambana sana na kujituma mno wenyewe.
- Hawataki kujihusisha na kuwa ' mabegi ' ya Drugs barons wa Tanzania kama wanavyofanyiwa wengine.
- Wanaridhika na kumshukuru Mwenyezi Mungu sana kwa chochote kile anachowapa kwa ' Jasho ' lao na kamwe hawapendi ' magumashi ' kama wenzao wengi.
- Tungo zao nyingi tena 100% ni za ukweli mtupu na usisahau kuwa 100% ya Watanzania hatupendi kuambiwa ukweli.