KOMBAJR
JF-Expert Member
- Nov 15, 2011
- 5,827
- 1,271
Wana jf kwanini CHADEMA hawaadhimishi siku ya kuzaliwa kwake?
si mpaka ifike mbona una haraka au unataka wafoji date ili na wao waonekane wamesheherekea?
Wana jf kwanini CHADEMA hawaadhimishi siku ya kuzaliwa kwake?
Fedha zinatumika kuwafikia wananchi badala ya kuchezea. wangefanya hivyo, hata hili swali usingeuliza, maana wangekuwaawa na TLP au UPDPWana jf kwanini CHADEMA hawaadhimishi siku ya kuzaliwa kwake?
Wana jf kwanini CHADEMA hawaadhimishi siku ya kuzaliwa kwake?
Wana jf kwanini CHADEMA hawaadhimishi siku ya kuzaliwa kwake?
Chadema haiwezi kuadhimisha siku ya kuzaliwa maana haifahamiki ilianzishwa lini na nani. Hata bendera yao yenye rangi nyekundu iliibuka wakati wa uchaguzi lakini ukiangalia wakati inaanzishwa haikuwa na hii bendera. Kituko kingine ni itikadi. Chadema ilianzishwa ikiamini katika ubepari kwani mwasisi wake edwin mtei hakukubaliana kabisa na baba wa taifa katika ujamaa na hata alifukuzwa uwaziri wa fedha kwa kukubaliana zaidi na imf. Lakini siku za karibuni chadema inaimba sana ujamaa majukwaani ingawa maisha ya viongozi wao hayafanani na ujamaa
Chadema haiwezi kuadhimisha siku ya kuzaliwa maana haifahamiki ilianzishwa lini na nani. Hata bendera yao yenye rangi nyekundu iliibuka wakati wa uchaguzi lakini ukiangalia wakati inaanzishwa haikuwa na hii bendera. Kituko kingine ni itikadi. Chadema ilianzishwa ikiamini katika ubepari kwani mwasisi wake edwin mtei hakukubaliana kabisa na baba wa taifa katika ujamaa na hata alifukuzwa uwaziri wa fedha kwa kukubaliana zaidi na imf. Lakini siku za karibuni chadema inaimba sana ujamaa majukwaani ingawa maisha ya viongozi wao hayafanani na ujamaa
sasa umejibu au?
Umemsaidiaje mleta mada swali jepesi na wazi vile
Wana jf kwanini CHADEMA hawaadhimishi siku ya kuzaliwa kwake?