Kwanini CHADEMA hawaadhimishi siku ya kuzaliwa kwake?

Mtoa mada you think from behind. Unadhani siku ya kuzaliwa ya chama ina manufaa gani kwa wananchi na Taifa? CCM mlivyokuwa na ukosefu wa busara na akili mnashindwa kutetea masirahi ya umma unatetea siku ya chama cha mafisadi kuasisiwa.

Serikali ya CCM ilikandamiza demokrasia kwa kuzuia matangazo ya bunge yasiwe Live hii leo Magufuri ametoka Dar kwa msafara, mkutani wa CCM umerushwa Live na viongozi wa CCM kutumia muda mwingi kueleza umma uongo na upuzzi tu.

Nyote mnaotetea CCM hamjitambui, ninyi ni sawa na MAZUZU aliyosema Mwl. Nyerere. Hii leo ndiyo yamejaa CCM.
 
Wanabodi salamu, hivi CHADEMA iliundwa tarehe ngapi? Na mbona tarehe husika huwa haienziwi kama siku ya kuzaliwa kwa chama cha kiukombozi katika nchi yetu?

CHADEMA tunajukumu ya kuelimisha Watanzania kuelewa maovu ya CCM ili wakubali kuitoa madarakani, tarehe ya chama kuzaliwa inatuhusu nini, kwani chama ni kampuni kuhesabu na kugawana faida? siku ya kuadhimisha kuzinduliwa chama cha mafisadi ni siku ya mafisadi kupongezana kudanganya na kukandamiza demokrasia kwa masirahi ya wezi waliojaa katika chama hicho kinachofanya maigizo kuhadaa Watanzania kiliowanyima elimu.
 
Mtoa mada you think from behind. Unadhani siku ya kuzaliwa ya chama ina manufaa gani kwa wananchi na Taifa? CCM mlivyokuwa na ukosefu wa busara na akili mnashindwa kutetea masirahi ya umma unatetea siku ya chama cha mafisadi kuasisiwa.

Serikali ya CCM ilikandamiza demokrasia kwa kuzuia matangazo ya bunge yasiwe Live hii leo Magufuri ametoka Dar kwa msafara, mkutani wa CCM umerushwa Live na viongozi wa CCM kutumia muda mwingi kueleza umma uongo na upuzzi tu.

Nyote mnaotetea CCM hamjitambui, ninyi ni sawa na MAZUZU aliyosema Mwl. Nyerere. Hii leo ndiyo yamejaa CCM.
Kama tumekosa ushindi katika chaguzi mbili tofauti tena tukiwa na wagombea makini, lazima tuhoji siku chama kilizaliwa huenda ikiwa ni sababu ya mkosi huu.
 
Fikra za mageuzi nchini zilianza mapema kabla mfumo wa vyama vingi haujaidhinishwa kisheria. Hivyo Chadema ilizaliwa katika fikra za watu kabla ya kuwa officially registered
Sasa hiyo officially registered si ndo siku kilipozaliwa au? Ndo tunaitaka iyo siku..!!!!
 
JPM akikabidhiwa uenyekiti wa CCM, hakuna sherehe za kuzaliwa chama. kuleni na kunywa kwa mara ya mwisho mwisho.
 
ninachojua cdm kimeundwa mwaka 1992 na kupata usajir wa kudum mwaka 1993, mwezi sikumbuki, ila hata hao viongozi wakuu wa chama hawajui may b mtei au kwa mbaaaaali mbowee
 
CDM hatuigi ujinga....tutasherehekea Siku tutakayotimiza malengo yetu...huu uzandiki was serikali ya ccm kufuta sikukuu za kitaifa ambazo hazihitaji itikadi ya chama na kusherehekea siku ya kuzaliwa ccm kwa kutumbua kodi za walala hoi wa nchi hii ni aibu kwa Magufuli anayesingizia kubana matumizi.Penye ukweli uongo hujitenga....atuambie singida wametumbua billion ngapi na kupoteza roho za askari polisi wetu

matumizi
 
Sasa hiyo officially registered si ndo siku kilipozaliwa au? Ndo tunaitaka iyo siku..!!!!
Wanaotaka ski waende kwa msajili? Chadema haioni umuhimu wa siku hiyo kwani ilichelewa sana kutokea ukizingatia kuna watu waliteseka siku nyingi kupigania mageuzi kabla ya hapo. Nisawa na kujifungua baada ya kukaa na mimba miezi 15 hata hiyo birthday haina raha kuikumbuka
 
Tulianza kwa kubana matumizi tangu kuanzishwa kwake hivyo sherehe za chama ni kupunguza mtumizi yasiyo lazima na wenzetu wakathubutu hata za kuzaliwa Taifa zikazimwa
Kubana matumizi na kuifahamu tarehe na kuienzi ni vitu viwili tofauti
 
Chama cha ukombozi kwa Watanzania kiko wapi muungwana?kama ni hicho cha ukombozi wa familia(ZETU) sawa, tumeuona ukombozi kwenye Escow ni kazi nzuri ili fanyika,vinginevyo usi shangae kuwa CHADEMA kina share birthday na Babu yako.
 
Anayeweza kujibu hili ni Edwin Mtei. Hawa wafuasi wa leo wamedandia tu hawajui wanakotoka na lini walianza safari. Pia na wasiwasi hata wanakopelekwa hawapajui.
Kumbukumbu nzuri ni ya kifo hizo nyingine mbwe mbwe hivi na wewe ni mwasisi wa ccm au njaa zinakufanya uwe mateka wa ccm
 
Back
Top Bottom