mpayukaji
JF-Expert Member
- Oct 31, 2010
- 940
- 349
Kwa mujibu wa taarifa zilizotolewa na shirika la umeme la Kenya KenGen ni kwamba bei za umeme nchini humo zitaashuka kutokana na kuwa na maji ya kutosha. Je inakuwaje hali ni tofauti Tanzania ambayo ina vyanzo vingi kuliko Kenya?
Kwa uhakika zaidi GONGA HAPA.
Kwa uhakika zaidi GONGA HAPA.