BRO SANTANA
JF-Expert Member
- Jun 15, 2015
- 1,845
- 2,245
Habarini ndugu zangu.
Mimi huwa nasikia kwamba endapo akaunti yako ya bank haijawahi kuwekwa hata mil 5 toka ifunguliwe na ina muda mrefu lakini ghafla ikaingizwa mil 100 au zaidi wanaanza kukufuatilia sana tena wakishirikiana na serikali.
Wakati wakubwa hata hawaulizwi maana zinaingia za escrow,richmond,epa lakini kimya.
Naomba kujuzwa juu ya hilo.
Mimi huwa nasikia kwamba endapo akaunti yako ya bank haijawahi kuwekwa hata mil 5 toka ifunguliwe na ina muda mrefu lakini ghafla ikaingizwa mil 100 au zaidi wanaanza kukufuatilia sana tena wakishirikiana na serikali.
Wakati wakubwa hata hawaulizwi maana zinaingia za escrow,richmond,epa lakini kimya.
Naomba kujuzwa juu ya hilo.