abduel paul
Senior Member
- Nov 23, 2010
- 133
- 5
Jamani mbona jana nilituma sababu za Kwanini Hawa hawavai hupi? Any way sasa kwa wale vijana ambao wamo kwenye hii JF nawashauri nanyi msivae, huu ni ushauri wa kitabibu kabisa, inasaidia Dungu kuwa na nafasi na kuongozeka urefu, na kuzifanya seli zake kutokufa kwa ni chupi zina changia joto kali ambalo lina madhara, kesho na kesho kutwa labda unatoka kitambi shock imeshatoka vizuri basi unashindwa hata kujiona mwenyewe, nn sbb imedumaa, na Mama naye? anajikausha tu kumbe asikilizii chochote, so hii nadhani kwao pia ina maana fulani.