Ben-adam
JF-Expert Member
- Jun 2, 2023
- 765
- 1,669
Sisi watoto wa mjini kuna mengi hatuyajui, mnaoelewa mtumegee na sisi.
Wengine hujifananisha na mbwa, wengine chui, wengine ng'ombe wa aina fulani.
Na kuna masharti juu ya wanyama hao ambayo wahusika wanatakiwa kuyafuata, wanapokiuka hupata madhara makubwa!
Mfano kuna jamaa namfahamu, mwili wake una mabaka mabaka meupe Familia yake wanadai alivunja miiko ya ukoo wake (kama hayo niliyosema hapo juu)
Je, ni nini chanzo chake?
Wengine hujifananisha na mbwa, wengine chui, wengine ng'ombe wa aina fulani.
Na kuna masharti juu ya wanyama hao ambayo wahusika wanatakiwa kuyafuata, wanapokiuka hupata madhara makubwa!
Mfano kuna jamaa namfahamu, mwili wake una mabaka mabaka meupe Familia yake wanadai alivunja miiko ya ukoo wake (kama hayo niliyosema hapo juu)
Je, ni nini chanzo chake?