fikramakini
JF-Expert Member
- Nov 27, 2010
- 247
- 60
Wakuu wa JF, wasalaam,
Nasikitika sana jinsi vyombo vya habari vina mwa-dress Mh. Luteni Jakaya Kikwete kama Dr. Jakaya Kikwete.
Hivi hata ukipewa u-doctor wa heshima ndio teyari hiyo prefix itumike kwenye jina? Nyerere alipata hizo heshima mara kadhaa laiki aliendelea kuitwa Mwali Julius Kambarage Nyerere. Sasa kwa nini vyombo vya habari vinatumia prefix ya Dr. badala ya Luteni wanapo mwongelea Mh. Jakaya kikwete?
Mnaweza mkasema amestaafu jeshi siku nyingi. Sawa, lakini nae Makamba si alishastaafu lakini anaitwa Luteni Makamba?
Nadhani tatizo kubwa hapa ni vyombo vya habari kujigonga na kuanza kumwita Dr. au labda yeye ndo anaweka hilo shinikizo?
Nasikitika sana jinsi vyombo vya habari vina mwa-dress Mh. Luteni Jakaya Kikwete kama Dr. Jakaya Kikwete.
Hivi hata ukipewa u-doctor wa heshima ndio teyari hiyo prefix itumike kwenye jina? Nyerere alipata hizo heshima mara kadhaa laiki aliendelea kuitwa Mwali Julius Kambarage Nyerere. Sasa kwa nini vyombo vya habari vinatumia prefix ya Dr. badala ya Luteni wanapo mwongelea Mh. Jakaya kikwete?
Mnaweza mkasema amestaafu jeshi siku nyingi. Sawa, lakini nae Makamba si alishastaafu lakini anaitwa Luteni Makamba?
Nadhani tatizo kubwa hapa ni vyombo vya habari kujigonga na kuanza kumwita Dr. au labda yeye ndo anaweka hilo shinikizo?