bin haroub
JF-Expert Member
- Jun 19, 2023
- 1,630
- 790
Wacha porojo hizo sheria zipo znz kabla wewe hujazaliwa tii sheria bila shuruti huwezi baki kwenu tanganyikaNilikua nawaza hivi wakati wakristo wanaoishi zanzibar wanafunga huwa hakuna waislamu wanaokula hadharani!? Huwa wanakamatwa na kuwekwa Jela pia?