Kweli jamani, wampwapwa na sisi mwishoni tutakimbilia mjini sasa.
Vipi nikileta biashara ya machinjio italipa hapo Mpwapwa? Nilipita siku moja huko nikienda Kibakwe, nikaona kila familia ina machinjio yake, ndio maana tunarundikana Dar.
Dar kuna biashara gani? Huku kuna wachuuzi tu!
zipo biasharaa nyiingi na kubwa za kufanya mikoani....
nyingi mno
kilimo,hospitality...entertainment na kadhalika
kaka hyo nilo highlit bado sana huku mikoani.
na ni biashara ambayo kamwe hutokosa wateja.
zipo biasharaa nyiingi na kubwa za kufanya mikoani....
nyingi mno
kilimo,hospitality...entertainment na kadhalika