kwani ni lazima wote turundikane Dar es Salaam?

majogajo

JF-Expert Member
Oct 9, 2011
317
44
jaman kila mtu akiweka uzi wa kuomba kuanzisha biashara wanajamvi watamshauri location achukue maeneo ya Dar, sasa je sisi watu wa mikoani ndani yaani mawilayani tuanzishe biashara gani huko?
 
Tena nafikiria kuna opportunity nyingi mkoani/wilayani kuliko Dar es salaam na hasa ukiwa creative ukafanya kitu tofauti kidogo. Pia fikiria biashara ya kuchukua vitu Dar es salaam na kuvipeleka huko mkoani/wilayani kwako, unaweza ukawa msambazaji wa some items/products wilaya nzima... you will make money..
 
Hilo lilikuwa swali zuri kama ungewauliza mawaziri.
 
si kweli unayoyasema,kama ni mfuatiliaji wa jukwaa hili utagundua 60%+ tunaoperate vijijini, dar zipo familia tu
 
Kweli jamani, wampwapwa na sisi mwishoni tutakimbilia mjini sasa.

Vipi nikileta biashara ya machinjio italipa hapo Mpwapwa? Nilipita siku moja huko nikienda Kibakwe, nikaona kila familia ina machinjio yake, ndio maana tunarundikana Dar.
 
Vipi nikileta biashara ya machinjio italipa hapo Mpwapwa? Nilipita siku moja huko nikienda Kibakwe, nikaona kila familia ina machinjio yake, ndio maana tunarundikana Dar.

italipa malila. Mbona kkoo maduka kibao na kila siku yanaanzishwa mapya. Ngoja tufanye kautafiti.
 
ngoja nijaribu enterment.......ila maeneo mazuri yalishanunuliwa na wakubwa na wakayaacha idle, ukiulizia unaambiwa usiguse. cjui ntafanyaje?
 
Back
Top Bottom