Kwani kuwa "Great Thinker" Inamaanisha Kuwa Mpinzani?

Elifasi

Senior Member
Nov 1, 2010
180
5
Evidence JF comments kila pahala: Mara nyingi mtu akipost comment au topic inayoonekana kuizungumzia serikali au mmoja wao (wa sasa au wazamani) positively comments zimekua zikirushwa kwamba si pahala pake (si jukwaa la kusafisha chama au hao). Najiuliza, conventionally au hata radically, fikira zilizotukuka ni lazima zisapoti hoja inayopinga serkali/chama/fisadi au kama kuna kitu positive anaweza kiibua na kutoa analysis, na iheshmiwe as long as ni mawazo yake.

Vinginevo tuache kuiiita forum za great thinkers iwe ya great political oppositionists!!! Hili ni ANGALIZO na si kusapoti uovu au kusafisha. Nasapoti fikra si unguided, induced venomenous negativity! This way tutawaondoa wapayukaji na wapigadebe walioacha vichwa chooni na kuingia hapa na shingo pekeake!
 
hapana! watu wanasema ukweli! hepu ongelea swala kuhusu mtu mzima Magofuli na utendaji wake kama watakupinga! na juzi juzi tumemwona mama Tibaijuka nae kaanza kuonesha utendaji wake! WATU WANAONA BWANA MEMA NA MABAYA! Ila nazo fikra za mtazamo wa mtu wa kisiasa nao upo sana kwenye JF! kwa hiyo hoja yako nayo ina ukweli. Nashukuru kwa post hii
 
Evidence JF comments kila pahala: Mara nyingi mtu akipost comment au topic inayoonekana kuizungumzia serikali au mmoja wao (wa sasa au wazamani) positively comments zimekua zikirushwa kwamba si pahala pake (si jukwaa la kusafisha chama au hao). Najiuliza, conventionally au hata radically, fikira zilizotukuka ni lazima zisapoti hoja inayopinga serkali/chama/fisadi au kama kuna kitu positive anaweza kiibua na kutoa analysis, na iheshmiwe as long as ni mawazo yake.

Vinginevo tuache kuiiita forum za great thinkers iwe ya great political oppositionists!!! Hili ni ANGALIZO na si kusapoti uovu au kusafisha. Nasapoti fikra si unguided, induced venomenous negativity! This way tutawaondoa wapayukaji na wapigadebe walioacha vichwa chooni na kuingia hapa na shingo pekeake!

Nafikiri usiumie kichwa sana kukutana na majibu yasiyo ya kistaarabu hapa. Kwa bahati mbaya, JF haina namna ya kuchambua bongo za wachangiaji wote ili kuhakikisha ni post za "Great Thinkers" tu ndizo zinazopata nafasi. Ndio maana kuna michango ya ajabuajabu utakutana nayo humu. Inahitaji uvumilivu tu. lakini ili tuweze kutoa maoni ya maana kwenye hoja yako, hebu toa mifano basi ya post za aina iliyo kwenye red hapo juu ulizowahi kupost au kuona zimepostiwa kisha zikajibiwa utumbo. Ingawa kwa tahadhari tu ni kwamba mahali ilipofikia serikali yetu na CCM yake utapata maumivu sana kujaribu kutafuta "positive outlook" ya taasisi hizo hata mitaani.
 
Elifasi, naomba utambue kwamba watu hapa (JF) wanajaribu kutoa maoni yao kama watanzania wengine, kuwa na mrengo wa kupinga maovu ya CCM ni haki yao au kuwa Great thinker ni kusapoti CCM? Kuna hoja tata nyingi ambazo serikali ya CCM imeshinda kuzishughulikia mf. Dowans, Richmond, Kagoda, Meremeta, Radar, Katiba, Wizi wa mali za Umma, uchakachuaji matokeo ya urais, meya Arusha, ufisadi UBT, Maliasili, TICS, Mramba na wezi wenzie, RA, EL. Sasa kwa utitiri wa mauvu haya unategemea wananchi watakuwa positive towards CCM na serikali yake? Ndio maana kila kona CCM inashambuliwa si hapa tu (mimi nashiriki ktk midahalo at ground level). CCM hawataki ku-deal na tatizo isipokuwa wanatafuta mchawi.
 
ni kweli ushabiki umezidi kuliko kuangalia hoja zitokewazo. Jadili udhaifu labda wa mwanasiasa wa upinzani uone matusi yake. Tatizo wapinzani ni kama malaika hawakosei na serikali kama shetan hana zuri hata moja
 
Great Thinker ni mtu tu wa kawaida kabisa lakini mwenye mapenzi makubwa na udadisi wa mambo, matumizi ya ushahidi usio na shaka ama kwa kuthibitisha au kukataa madai fulani.

Ni mtu mwenye kuvutiwa zaidi na maswali magumu kuliko majibu rahisi, haonei aibu hoja, uvivu wa kufikiri walana kwa sana kuachia hoja yenyewe uhuru wa kujiendesha yenyewe bila kulazimishwa mwelekeo fulani kwa nguvu.

Walau unaweza ukaanzia hapo kujua maana GTs.
 
Ukitaka hoja za kuisifia serikali dhaifu na dhalimu kama hii, basi usipate shida nunuwa magazeti ya uhuru na mzalendo pamoja na habari leo. na pale facebook kuna page ya Jakaya Kikwete, basi jiunge huko wewe kazi yako iwe kusifia ujinga tu.
By the way, hebu tutolee mfano mdogo tu, serikali hii ya ccm tutaisifia au kuisema vizuri kwa lipi?
 
Evidence JF comments kila pahala: Mara nyingi mtu akipost comment au topic inayoonekana kuizungumzia serikali au mmoja wao (wa sasa au wazamani) positively comments zimekua zikirushwa kwamba si pahala pake (si jukwaa la kusafisha chama au hao). Najiuliza, conventionally au hata radically, fikira zilizotukuka ni lazima zisapoti hoja inayopinga serkali/chama/fisadi au kama kuna kitu positive anaweza kiibua na kutoa analysis, na iheshmiwe as long as ni mawazo yake.

Vinginevo tuache kuiiita forum za great thinkers iwe ya great political oppositionists!!! Hili ni ANGALIZO na si kusapoti uovu au kusafisha. Nasapoti fikra si unguided, induced venomenous negativity! This way tutawaondoa wapayukaji na wapigadebe walioacha vichwa chooni na kuingia hapa na shingo pekeake!

evidently ni kwamba hata kwenye society kuna makundi mbalimbali kama ya vyama vya siasa na hata magenge ya wahuni wa kukodishwa...JF is a forum...it stands to be hosting any member.., non member.., supporting groups.., political parties.. magenge ya wahuni .., achochezi.., pro government supporters.., pro ufisadi.., anti governmet groups, NGO's na kadhalika....

please hesitate and be considerate...if you do not have interests in any of the posts supported by certain group ..., keep away..... wanasema pili pili ya shamba.............
 
Kuna baadhi ya vitu uwezi kuvizuia hata ufanye nini,ndio kama hapa jf uwezi kuzuia mtu asi comment,wewe kubaliana na hali halisi,kama ukichoka sign out, halafu sign in kwenye facebook.:suspicious::suspicious::suspicious:
 
hapana! watu wanasema ukweli! hepu ongelea swala kuhusu mtu mzima Magofuli na utendaji wake kama watakupinga! na juzi juzi tumemwona mama Tibaijuka nae kaanza kuonesha utendaji wake! WATU WANAONA BWANA MEMA NA MABAYA! Ila nazo fikra za mtazamo wa mtu wa kisiasa nao upo sana kwenye JF! kwa hiyo hoja yako nayo ina ukweli. Nashukuru kwa post hii

avatar yako inatia kinyaa,kuna waislam humu tafadhali
 
avatar yako inatia kinyaa,kuna waislam humu tafadhali


Kama ulikuwa tu unasikia neno mnafki basi usipate shida kujuwa mnafki anafananaje, jiangalia wewe kwanza utamjuwa mnafki ni mtu wa namna gani!
sasa wewe hiyo Avatar yako hauoni kama vilevile inatia kinyaa? haujuwi kama humu kuna wayahudi? au ndio nyani halioni kundule?
 
Nyerere na wanyonge "lakini linaloonekana zaidi machoni pa watu (watanzania) wenye matatizo makubwa ya uchumi, kama wanayoyapitia hivi sasa watu wengi waaminifu, ni kule kuanza kuonekana kwa matajiri kwelikweli ktk nchi maskini kama yetu" ndg. Nadhani suala la kuwa na mtizamo hasi kwa mwenendo wa nchi haukuanza leo na pia mtizamo chanya haukuanza leo, kwa hyo nadhani ni vema tukapingana ili kuweka mambo sawa otherwise wote tuwe kama kina Kibonde pamoja na kuona hakuna cha kusifia inawalazima japo kusifia "suti" za kina Membe et al na miwani zao.
 
ni kweli ushabiki umezidi kuliko kuangalia hoja zitokewazo. Jadili udhaifu labda wa mwanasiasa wa upinzani uone matusi yake. Tatizo wapinzani ni kama malaika hawakosei na serikali kama shetan hana zuri hata moja

Hapo ndipo watetezi wa serikali mnapopotea. Serikali haipimwi kwa kuhesabiwa "mazuri" au "mema" kama wengine mnavyopenda kusema. Serikali si mtu binafsi au "msamaria mwema". Inawajibika kikamilifu kwa wananchi. Kazi ya Serikali ni kutimiza wajibu wake kama ulivyoainishwa kwenye sera, mipango na miradi mbalimbali ya kitaifa. Ndio maana inakabidhiwa madaraka kamili juu ya rasilimali zote za umma na juu ya usimamizi wa sheria na taratibu za nchi. Kuonyesha chuo au barabara moja iliyojengwa na kututaka tutoe pongezi kwa "hayo mema" machache ilhali benki kuu imekwapuliwa mkwanja wa kutisha na sekta nzima ya nishati (umeme) imehujumiwa kichizi, n.k. ni uswahili na ubabaishaji wa hali ya juu.
 
Nafikiri mawazo yako kama haya ndio chanzo cha tatizo. Kuna tofauti kati ya fikra za muuza bidhaa (no offence-mfano mhudumu wa bar), na meneja wa masoko wa TBL, na aliyefikiri formulae ya bia - anayoipigia debe marketing manager na anayeichomekea bili bar man/maid!!! Of course zote zimetumia ubongo kufikia hapo mpaka ukatoa NOTI iliyopauka ya Ndulu/JK. So, ishu si kuwa na mdomo wa kuongea ndo kila mtu akusikilize - ushu ni kunena. ishu si kufanya: ishu ni kuweka brain onto it! IF ya ain't thinker, huwez elewa Drifter!

Hapo ndipo watetezi wa serikali mnapopotea. Serikali haipimwi kwa kuhesabiwa "mazuri" au "mema" kama wengine mnavyopenda kusema. Serikali si mtu binafsi au "msamaria mwema". Inawajibika kikamilifu kwa wananchi. Kazi ya Serikali ni kutimiza wajibu wake kama ulivyoainishwa kwenye sera, mipango na miradi mbalimbali ya kitaifa. Ndio maana inakabidhiwa madaraka kamili juu ya rasilimali zote za umma na juu ya usimamizi wa sheria na taratibu za nchi. Kuonyesha chuo au barabara moja iliyojengwa na kututaka tutoe pongezi kwa "hayo mema" machache ilhali benki kuu imekwapuliwa mkwanja wa kutisha na sekta nzima ya nishati (umeme) imehujumiwa kichizi, n.k. ni uswahili na ubabaishaji wa hali ya juu.
 
Unaona, tatizo ndo hili.... Kama nsipotumia fikra, ningekujibu hivi: 'na wewe kama unaona hii post haiku-impress, kwanin usisome zngine uachane nayo, au uweke ya kwako"?

Lakini kwa sababu nafikiri nakujibu hivi: think through then reply mazee, donk drink through!! Great thinkers are way ahead of ya.... if ya not! I am, take that as a compliment to you!

Kaanzishe forum yako basi yenye sifa unazozitaka. Hatujakuzuia..
 
Back
Top Bottom