''we mwanaume gani,unaskia raha tu mi nakuja kwako wala hushangai napendezaje,huoni mapafyume nnayonukia wala huushangai. Unashugulika wala sh 10 hunipi,cji tena kwako''
''we mwanaume gani,unaskia raha tu mi nakuja kwako wala hushangai napendezaje,huoni mapafyume nnayonukia wala huushangai. Unashugulika wala sh 10 hunipi,cji tena kwako''
Sasa kama husemi atajuaje kuwa una shida,pia yawezekana kuwa hauna shida ila uko sokoni yaani unajiuza atajuaje,kuwa muwazi ili akuelewe lengo lako!:yawn:
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.