Mzalendo80
JF-Expert Member
- Oct 30, 2010
- 2,508
- 1,338
Watanzania nashindwa kufahamu kwanini wabunge wengi hasa wa Magamba wanapenda sana kuishi Dar na kuwakimbia wananchi wao waliowachagua.
Hivi kuna haja gani ya kumchagua Mbunge ambaye hakai kwenye Jimbo?
Mfano Spika Anna Makinda anajenga Dar na waliomchagua wapo Iringa kweli inaingia akilini, kuwakilishwa na Anna yuko takribani ya umbali 500 Mile? Tena anajenga na kuziba barabara wananchi wa Dar wasumbuke kwa ajili ya ujinga wa mtu mmoja tena sio Mbunge wao, Anna Makinda amewakimbia wapiga kura wako na kuja kukaa karibu na waliomuingiza kwenye mtandao wa Kifisadi (Ujambazi wa kuliibia Taifa na watanzania)
Anna Makinda yupo zaidi kwenye maslai ya Kwake na mafisadi waliomuweka kuliangamiza Taifa letu.
Hizi Tabia mbovu zinazofanywa na wanasiasa ucharwa kama hawa wa magamba tuzikataeeni Watanzania na kuwaepuka wanasiasa hawa kama Anne Makinda, Lowassa, chenge Mkono, Kikwete, Rostam na Mafisadi wengine ambazo wanapanga kuliangamiza hili taifa tuwaangamizeni kabla ya Taifa letu kuangamizwa na Mafisadi.
Tunajuwa kuwa kila mtanzania anahaki ya kuishi kokote lakini hizi tabia chafu zinazofabywa na hawa majambazi wa kisiasa kwa maufaa yao sio sahihi, akakae hukuhuko alipochagualiwa ili awekaribu na wananchi waliochamgua sio kuwakimbia na kuwakumbuka kila uchaguzi unapokuja.
Waliompigia Kura huyu mama poleni huko Iringa kama angekuwa ni mbunge wangu ningehakikisha harusdi tena Iringa kugombea Umbunge tabia Mbovu acheni nyie wabunge Uchwara na waroho wa Madaraka.
Nenda kakae jimboni kwako wewe Mbunge uwe wa Magamba au Upinzani saidia wananchi wako
Hivi kuna haja gani ya kumchagua Mbunge ambaye hakai kwenye Jimbo?
Mfano Spika Anna Makinda anajenga Dar na waliomchagua wapo Iringa kweli inaingia akilini, kuwakilishwa na Anna yuko takribani ya umbali 500 Mile? Tena anajenga na kuziba barabara wananchi wa Dar wasumbuke kwa ajili ya ujinga wa mtu mmoja tena sio Mbunge wao, Anna Makinda amewakimbia wapiga kura wako na kuja kukaa karibu na waliomuingiza kwenye mtandao wa Kifisadi (Ujambazi wa kuliibia Taifa na watanzania)
Anna Makinda yupo zaidi kwenye maslai ya Kwake na mafisadi waliomuweka kuliangamiza Taifa letu.
Hizi Tabia mbovu zinazofanywa na wanasiasa ucharwa kama hawa wa magamba tuzikataeeni Watanzania na kuwaepuka wanasiasa hawa kama Anne Makinda, Lowassa, chenge Mkono, Kikwete, Rostam na Mafisadi wengine ambazo wanapanga kuliangamiza hili taifa tuwaangamizeni kabla ya Taifa letu kuangamizwa na Mafisadi.
Tunajuwa kuwa kila mtanzania anahaki ya kuishi kokote lakini hizi tabia chafu zinazofabywa na hawa majambazi wa kisiasa kwa maufaa yao sio sahihi, akakae hukuhuko alipochagualiwa ili awekaribu na wananchi waliochamgua sio kuwakimbia na kuwakumbuka kila uchaguzi unapokuja.
Waliompigia Kura huyu mama poleni huko Iringa kama angekuwa ni mbunge wangu ningehakikisha harusdi tena Iringa kugombea Umbunge tabia Mbovu acheni nyie wabunge Uchwara na waroho wa Madaraka.
Nenda kakae jimboni kwako wewe Mbunge uwe wa Magamba au Upinzani saidia wananchi wako