Kwako Waziri Mkuu: Suala la kuuza vyakula nje

Sweya Makungu

JF-Expert Member
Jun 11, 2023
479
556
Napenda kumshukuru sana Mhe. Rais kwa kuufanyia kazi ushauri wangu nilioushauri kwa Waziri Mkuu mwezi February juu ya suala la kuuza vyakula nje.

👇
Kwa Waziri Mkuu.

Farao hakuuza chakula nje kwa sababu nje kulikuwa na njaa, bali Farao aliuza chakula nje kwa sababu ndani kulikuwa na akiba ya kutosha:
©️ Mwl. Makungu m.s
0743781910

Mfalme Suleiman anasema katika Mithali 6:6>

"Ewe mvivu, mwendee chungu, Zitafakari njia zake ukapate hekima. Kwa maana yeye hana akida, wala msimamizi, wala mkuu, Lakini hujiwekea akiba ya chakula wakati wa jua; Hukusanya chakula chake wakati wa mavuno. Ewe mvivu, utalala hata lini? Utaondoka lini katika usingizi wako?"

Mhe. Waziri, kama hatujafikia hatua ya mapinduzi ya kilimo, kwanini turuhusu vyakula vitoke? Kama hatuna akiba ya kutosha, kwanini tutapanye chakula chetu nje?

Waziri Mkuu mwenzako aitwaye Yusufu wa nchi ya Misri chini ya Mfalme Farao wa nyakati hizo, alikuwa na sera ambayo serikali ilihusika moja kwa moja na kilimo bora cha nyakati hizo. Na si hilo tu,serikali ndiyo ikawa mnunuzi mkuu wa mazao ya chakula (nafaka) toka kwa wakulima ndani ya nchi.

Wakulima wote, wafanyabiashara wa mazao wote walitakiwa kuiuzia serikali chakula. Ikawa na akiba ya kutosha san, na ilipofika wakati wa njaa kali, serikali ikawa na uwezo wa kulisha nchi nzima kwa miaka 7 bila mavuno yoyote ndani ya hiyo miaka. Ikawauzia wananchi wake chakula kwa bei ya kawaida.

Na kuonesha ni jinsi gani walikuwa na akiba ya kutosha wakawauzia hadi watu wa nchi ya jirani. Na kwa kuwa njaa ilikuwa kali kwa muda mrefu,hata watu walipoishiwa hela kabisa wakaweka dhamana ardhi zao kwa serikali wakaendelea kupewa chakula. Hata wasiokuwa na ardhi wakaweka dhamana nguvu zao kufanya kaz za serikali wakapewa chakula.

Haya yote yalifanyika kwasababu serikali ilikuwa na akiba ya kutosha.

Hebu tujitafakari sisi Mhe. Waziri; je, tunafanana na chungu au ni wavivu tumelala usingizi?Kama serikali haitaki kujihusisha na ununuzi wa mazao ya chakula na inaijua nchi yetu haijafikia mapinduzi ya kilimo, kwanini itapanye vyakula nje?

Tunatakiwa tufike hatua ambayo tuwe na akiba ya kutosha kiasi kwamba sisi wa ndani tuuziane kwa bei ya kawaida halafu wale wa nje ndiyo tuwauzie bei juu.

Nchi yetu tangu mwaka juzi vyakula vimepanda bei sana na vinazidi kupanda. Siyo kwa sababu hatuna mavuno, bali ni kwa sababu mavuno yanaenda nje na hatuna mapinduzi ya kilimo ya kuleta mavuno ya ziada.

Je, sisi bado ni wavivu tuliolala usingizi?!

Mhe. Waziri, Mafarisayo walimuuliza Yesu, "Tuambie, unafanya mambo haya kwa mamlaka ya nani?"

Makungu m.s
0743781910
26 February 2023
 
Naunga mkono hoja niliandika uzi ,wanajiita wakulima wakamishambulia kweli eti wanakata faida?!!!
Una pata faida ya zao moja labda maindi kwa miatano zaidi,wakati huo sukari imeoanda kwa elfu moja🤓,michele wa elfu moja,marage kea elfu mbili sasa hiyo faida itabaki,!?soko linanufaisha wenyehekali 50 na huko si wa chn na wachn wanatumiwa kama ngao
 
Naunga mkono hoja niliandika uzi ,wanajiita wakulima wakamishambulia kweli eti wanakata faida?!!!
Una pata faida ya zao moja labda maindi kwa miatano zaidi,wakati huo sukari imeoanda kwa elfu moja,michele wa elfu moja,marage kea elfu mbili sasa hiyo faida itabaki,!?soko linanufaisha wenyehekali 50 na huko si wa chn na wachn wanatumiwa kama ngao
Binadam mnaoishi mijini huwa mnakaupumbavu fulani yaani mkulima auze bei zahovyo kisa ninyi mnahisi kutakua nauhaba?
kwanini msitoke huko mijini namitaji yenu mje muwekeze kwenye kilimo ili muweze angukiwa namafulushi yapesa navyakula kama rahisi?
Kama serikali ikiwaza kuzuia chakula kisiuzwe nje naiwaze kukinunua kwabei ambayo nithamani halisi ya chakula kwasasa kilimo kimekua gharama mno nahakieleweki kabisa halafu ninyi keybord worriors mnakujaga navingonjera vyenu
Basi huko mlipo muwazage hata kugundua tecnology ambazo zitakifanya kilimo kiwe rahisi kisowe chakuweka mitaji mikubwa nahasara zake zipungue aaah mmeuwekatu mnawazaga vyakula viwe rahisi wakati pembejeo mnapandisha ninyi fambaku sana hamna aibu kama mnashindwa hayo yote mnahisi serikali inasababisha mifumuko ya bei za pembejeo basi fanyeni hata maandamano huko ili tuone kweli mnauchungu navyakula namnaheshimu wakulima nakazi yao
Mwisho mkome kuzungumzia kupunguzwa kwaaslahi na thamani yakazi yetu yakilimo acheni nasitunapo nunua mbolea tujue kabisa mahindi gunia moja nilaki nahamsin
 
Binadam mnaoishi mijini huwa mnakaupumbavu fulani yaani mkulima auze bei zahovyo kisa ninyi mnahisi kutakua nauhaba?
kwanini msitoke huko mijini namitaji yenu mje muwekeze kwenye kilimo ili muweze angukiwa namafulushi yapesa navyakula kama rahisi?
Kama serikali ikiwaza kuzuia chakula kisiuzwe nje naiwaze kukinunua kwabei ambayo nithamani halisi ya chakula kwasasa kilimo kimekua gharama mno nahakieleweki kabisa halafu ninyi keybord worriors mnakujaga navingonjera vyenu
Basi huko mlipo muwazage hata kugundua tecnology ambazo zitakifanya kilimo kiwe rahisi kisowe chakuweka mitaji mikubwa nahasara zake zipungue aaah mmeuwekatu mnawazaga vyakula viwe rahisi wakati pembejeo mnapandisha ninyi fambaku sana hamna aibu kama mnashindwa hayo yote mnahisi serikali inasababisha mifumuko ya bei za pembejeo basi fanyeni hata maandamano huko ili tuone kweli mnauchungu navyakula namnaheshimu wakulima nakazi yao
Mwisho mkome kuzungumzia kupunguzwa kwaaslahi na thamani yakazi yetu yakilimo acheni nasitunapo nunua mbolea tujue kabisa mahindi gunia moja nilaki nahamsin
Kulima mazao ya nafaka ni kutafuta lawama tu .nenda kaliémie zako machungwa ya Valencia kule tanga hutajutia unapewa mil 4.5 yako ukiwa shamban n'a wakenya .hakuna cha tra wala nn
 
Hii ndio hali halisi ya Watz kukurupuka na kutosikiliza mambo kwa umakini ivi ni sehemu gani rais kasema kuwa amekataza kuuza chakula nje?

Mm nilicho kisikia kutoka kwa rais ni kuwa serikali inataka kununua nafaka zaidi ya tani 500,000 hivyo kawashauri wakulima waiuzie serikali nafaka zao badala ya kupeleka nchi za nje sijasikia popote alipo sema kuwa kuanzia sasa ni marufuku mazao kuuzwa nje ya nchi.
 
Unaangalia mambo kinyumenyume. Huwezi fikia kuzalisha chakula cha kutosha na mapinduzi ya kilimo kama unazuia kuuza mazao nje. Miaka zaidi ya 60 tumekuwa na sera kama hiyo na haijafanikiwa.

Kwanza unaacha watu wauze huko nje na popote, kama alivyofanya Bashe. Watu wakiona soko lipo na zuri ndipo wataingia na kulima mashamba makubwa, watanunua matrekta, watalima kwa umwagiliaji, watachimba visima nk nk.

Sera yoyote ya kuboresha kilimo haiwezi kufanikiwa mpaka pale kutakapokuwa na soko la uhakika na bei nzuri.
 
Hata Mimi bado najiuliza lile ni zuio au ni ombi kwa wakulima wasiuze nje?
Hii ndio hali halisi ya Watz kukurupuka na kutosikiliza mambo kwa umakini ivi ni sehemu gani rais kasema kuwa amekataza kuuza chakula nje?

Mm nilicho kisikia kutoka kwa rais ni kuwa serikali inataka kununua nafaka zaidi ya tani 500,000 hivyo kawashauri wakulima waiuzie serikali nafaka zao badala ya kupeleka nchi za nje sijasikia popote alipo sema kuwa kuanzia sasa ni marufuku mazao kuuzwa nje ya nchi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Napenda kumshukuru sana Mhe. Rais kwa kuufanyia kazi ushauri wangu nilioushauri kwa Waziri Mkuu mwezi February juu ya suala la kuuza vyakula nje.


Kwa Waziri Mkuu.

Farao hakuuza chakula nje kwa sababu nje kulikuwa na njaa, bali Farao aliuza chakula nje kwa sababu ndani kulikuwa na akiba ya kutosha:
Mwl. Makungu m.s
0743781910

Mfalme Suleiman anasema katika Mithali 6:6>

"Ewe mvivu, mwendee chungu, Zitafakari njia zake ukapate hekima. Kwa maana yeye hana akida, wala msimamizi, wala mkuu, Lakini hujiwekea akiba ya chakula wakati wa jua; Hukusanya chakula chake wakati wa mavuno. Ewe mvivu, utalala hata lini? Utaondoka lini katika usingizi wako?"

Mhe. Waziri, kama hatujafikia hatua ya mapinduzi ya kilimo, kwanini turuhusu vyakula vitoke? Kama hatuna akiba ya kutosha, kwanini tutapanye chakula chetu nje?

Waziri Mkuu mwenzako aitwaye Yusufu wa nchi ya Misri chini ya Mfalme Farao wa nyakati hizo, alikuwa na sera ambayo serikali ilihusika moja kwa moja na kilimo bora cha nyakati hizo. Na si hilo tu,serikali ndiyo ikawa mnunuzi mkuu wa mazao ya chakula (nafaka) toka kwa wakulima ndani ya nchi.

Wakulima wote, wafanyabiashara wa mazao wote walitakiwa kuiuzia serikali chakula. Ikawa na akiba ya kutosha san, na ilipofika wakati wa njaa kali, serikali ikawa na uwezo wa kulisha nchi nzima kwa miaka 7 bila mavuno yoyote ndani ya hiyo miaka. Ikawauzia wananchi wake chakula kwa bei ya kawaida.

Na kuonesha ni jinsi gani walikuwa na akiba ya kutosha wakawauzia hadi watu wa nchi ya jirani. Na kwa kuwa njaa ilikuwa kali kwa muda mrefu,hata watu walipoishiwa hela kabisa wakaweka dhamana ardhi zao kwa serikali wakaendelea kupewa chakula. Hata wasiokuwa na ardhi wakaweka dhamana nguvu zao kufanya kaz za serikali wakapewa chakula.

Haya yote yalifanyika kwasababu serikali ilikuwa na akiba ya kutosha.

Hebu tujitafakari sisi Mhe. Waziri; je, tunafanana na chungu au ni wavivu tumelala usingizi?Kama serikali haitaki kujihusisha na ununuzi wa mazao ya chakula na inaijua nchi yetu haijafikia mapinduzi ya kilimo, kwanini itapanye vyakula nje?

Tunatakiwa tufike hatua ambayo tuwe na akiba ya kutosha kiasi kwamba sisi wa ndani tuuziane kwa bei ya kawaida halafu wale wa nje ndiyo tuwauzie bei juu.

Nchi yetu tangu mwaka juzi vyakula vimepanda bei sana na vinazidi kupanda. Siyo kwa sababu hatuna mavuno, bali ni kwa sababu mavuno yanaenda nje na hatuna mapinduzi ya kilimo ya kuleta mavuno ya ziada.

Je, sisi bado ni wavivu tuliolala usingizi?!

Mhe. Waziri, Mafarisayo walimuuliza Yesu, "Tuambie, unafanya mambo haya kwa mamlaka ya nani?"

Makungu m.s
0743781910
26 February 2023
Kilimo ni Biashara!

Morale ya Mkulima ni Bei Nzuri ya Mazao!

Kazi ya Akiba na Usalama wa Chakula ni kazi ya Serikali.

Mh Rais amesema ametoa Pesa za Kununua Tani laki 5.

Hicho ni kiasi kikubwa sana kwa kuanzia!

Na ni Jitihada za Dhati.

Acha NFRA waende sokoni wakanunue NAFAKA kwa Bei ya Sokoni ali mradi Mazao hayo ni Ya Mtanzania Mkulima hiyo ni baraka.

Mkulima akipata pesa kutoka Kwenye Masoko yawe ya nje au ya Ndani ndipo atajiingiza Kwenye kilimo cha Umwagiliaji kwa Sababu kilimo kitakuwa ni Biashara kamili.

Na Mpango wa kilimo cha Umwagiliaji ni Mpango sahihi wa Serikali.

Huwezi kufanikiwa kuongeza uzalishaji wakati unazuia Mkulima asipate bei ya juu!

Bei ya juu ni Morale!

Kwa hivo ikiwa wewe ni Mkulima basi ihimize Serikali kufungua Masoko lakini pia ipanue wigo wa kilimo cha kisasa kama hicho cha Umwagiliaji!
 
Napenda kumshukuru sana Mhe. Rais kwa kuufanyia kazi ushauri wangu nilioushauri kwa Waziri Mkuu mwezi February juu ya suala la kuuza vyakula nje.


Kwa Waziri Mkuu.

Farao hakuuza chakula nje kwa sababu nje kulikuwa na njaa, bali Farao aliuza chakula nje kwa sababu ndani kulikuwa na akiba ya kutosha:
Mwl. Makungu m.s
0743781910

Mfalme Suleiman anasema katika Mithali 6:6>

"Ewe mvivu, mwendee chungu, Zitafakari njia zake ukapate hekima. Kwa maana yeye hana akida, wala msimamizi, wala mkuu, Lakini hujiwekea akiba ya chakula wakati wa jua; Hukusanya chakula chake wakati wa mavuno. Ewe mvivu, utalala hata lini? Utaondoka lini katika usingizi wako?"

Mhe. Waziri, kama hatujafikia hatua ya mapinduzi ya kilimo, kwanini turuhusu vyakula vitoke? Kama hatuna akiba ya kutosha, kwanini tutapanye chakula chetu nje?

Waziri Mkuu mwenzako aitwaye Yusufu wa nchi ya Misri chini ya Mfalme Farao wa nyakati hizo, alikuwa na sera ambayo serikali ilihusika moja kwa moja na kilimo bora cha nyakati hizo. Na si hilo tu,serikali ndiyo ikawa mnunuzi mkuu wa mazao ya chakula (nafaka) toka kwa wakulima ndani ya nchi.

Wakulima wote, wafanyabiashara wa mazao wote walitakiwa kuiuzia serikali chakula. Ikawa na akiba ya kutosha san, na ilipofika wakati wa njaa kali, serikali ikawa na uwezo wa kulisha nchi nzima kwa miaka 7 bila mavuno yoyote ndani ya hiyo miaka. Ikawauzia wananchi wake chakula kwa bei ya kawaida.

Na kuonesha ni jinsi gani walikuwa na akiba ya kutosha wakawauzia hadi watu wa nchi ya jirani. Na kwa kuwa njaa ilikuwa kali kwa muda mrefu,hata watu walipoishiwa hela kabisa wakaweka dhamana ardhi zao kwa serikali wakaendelea kupewa chakula. Hata wasiokuwa na ardhi wakaweka dhamana nguvu zao kufanya kaz za serikali wakapewa chakula.

Haya yote yalifanyika kwasababu serikali ilikuwa na akiba ya kutosha.

Hebu tujitafakari sisi Mhe. Waziri; je, tunafanana na chungu au ni wavivu tumelala usingizi?Kama serikali haitaki kujihusisha na ununuzi wa mazao ya chakula na inaijua nchi yetu haijafikia mapinduzi ya kilimo, kwanini itapanye vyakula nje?

Tunatakiwa tufike hatua ambayo tuwe na akiba ya kutosha kiasi kwamba sisi wa ndani tuuziane kwa bei ya kawaida halafu wale wa nje ndiyo tuwauzie bei juu.

Nchi yetu tangu mwaka juzi vyakula vimepanda bei sana na vinazidi kupanda. Siyo kwa sababu hatuna mavuno, bali ni kwa sababu mavuno yanaenda nje na hatuna mapinduzi ya kilimo ya kuleta mavuno ya ziada.

Je, sisi bado ni wavivu tuliolala usingizi?!

Mhe. Waziri, Mafarisayo walimuuliza Yesu, "Tuambie, unafanya mambo haya kwa mamlaka ya nani?"

Makungu m.s
0743781910
26 February 2023
Wafipa ni wajinga na wapumbavu hiyo ni jadi Yao miaka mingi.umaskini na uchawi ni laana waliyoitafuta Kwa nguvu,sababu tuu HAWAPENDANI.hivi serikali kuruhusu chakula kiuzwe nje Kwa bei ya juu Ili mkulima anufaike/afaidi wewe inakuwasha nini??pumbavu kabisa
 
Kuna wahuni walitaka kufaidika na biashara ya ulanguzi wa mazao kwa gharama yoyote ile hata kwa kukausha chakula chote nchini ili mradi wakapate faida kubwa huko nje.
 
Unazuia wakulima wasiuze mahindi nje wakati huo wewe unauza bandari nje, tumbafu zenu.
 
Kuna wahuni walitaka kufaidika na biashara ya ulanguzi wa mazao kwa gharama yoyote ile hata kwa kukausha chakula chote nchini ili mradi wakapate faida kubwa huko nje.

Nenda shamba kalime, kama upo mjini kutafuta pesa mbona zisikutosheleze kununua chakula?
 
Back
Top Bottom