Nimesikia tangazo kutoka kwa viongozi wa CHADEMA taifa hadi wilaya kua kutakua na maandamano na migomo isiyo na kikomo na kuwaomba wafuasi na wapenzi wa CHADEMA kuwaunga mkono viongozi hao katika maandamano ya nchi nzima.Lakini nasikitika haya maandamo ni ya kupinga bunge la katiba mpya ambayo ilikuwa ajenda ya UKAWA je,km ni hivyo mbona CHADEMA ndo wanashadidia kuliko vyama washirika? Kwa CHADEMA imewasaliti tayari washirika wao? JAMANI NAULIZA TU WAKUU ILI MNIJUZE.
Eti CCM ndo inayoongoza kwa kuwa chama cha KIFISADI kuliko vyama vyote africa, eti ni kweli??? nauliza tu bandugu.Chadema sui watu wa kuamini, unamjua Mabere Marando wewe?
Nimesikia tangazo kutoka kwa viongozi wa CHADEMA taifa hadi wilaya kua kutakua na maandamano na migomo isiyo na kikomo na kuwaomba wafuasi na wapenzi wa CHADEMA kuwaunga mkono viongozi hao katika maandamano ya nchi nzima.Lakini nasikitika haya maandamo ni ya kupinga bunge la katiba mpya ambayo ilikuwa ajenda ya UKAWA je,km ni hivyo mbona CHADEMA ndo wanashadidia kuliko vyama washirika? Kwa CHADEMA imewasaliti tayari washirika wao? JAMANI NAULIZA TU WAKUU ILI MNIJUZE.
Chadema huweza kuwaweka dhamana siyo watu kabisa hawafai.
Mfalme hatakiwi kuguswa wakati makamanda wapo , hii itakuwa ni aibu!Nauliza tu mkuu,nilisikia pia jana baadhi ya watu waliumizwa na polisi pale walipoandamana kumsindikiza mbowe,vp Mbowe naye aliumizwa? Pia nasikia alisepa South Africa....na je alienda na hao majeruhi?
Nimesikia tangazo kutoka kwa viongozi wa CHADEMA taifa hadi wilaya kua kutakua na maandamano na migomo isiyo na kikomo na kuwaomba wafuasi na wapenzi wa CHADEMA kuwaunga mkono viongozi hao katika maandamano ya nchi nzima.Lakini nasikitika haya maandamo ni ya kupinga bunge la katiba mpya ambayo ilikuwa ajenda ya UKAWA je,km ni hivyo mbona CHADEMA ndo wanashadidia kuliko vyama washirika? Kwa CHADEMA imewasaliti tayari washirika wao? JAMANI NAULIZA TU WAKUU ILI MNIJUZE.
Hizi ni dua za kuku.wameshasambaratika. cdm wanawaza kuingia ikulu tu wakale bata.
Najua lazima Chadema watalalamika polisi wametumia nguvu nyingi sana kuzima maandamao ya Chadema.
Na wewe akili yako ni ya kihuni huni? Nauliza tu mkuu sina ubaya na wewe....Nimesikia maandamano ya jana wamewekwa ndani watu watano,je Mbowe leo amewapelekea chakula? Nakuuliza tu mkuu,nijuze baasi japo kidogo!
wakuku unga mkono lazima wawe Lizabon,Msalani na jamii ya watu kama hao,ambao huota zidumu fikra za mwenyekiti,hawapewi nafasi ya kufikiri hata chembeChadema akili zao ndogo sana wanaakili kama za ndege wanafanya utoto kweli watapata aibu hamtaamini.