Mr Dudumizi
JF-Expert Member
- Sep 9, 2020
- 6,938
- 12,365
Kwanza kabisa napenda kukusalim kwa jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Ama baada ya salam zang, natumia haki yang ya kikatiba kama mtanzania kukupongeza kwa kazi kubwa uliyoifanya kama kiongozi wetu mkuu wa majeshi yote ya ulinzi na usalama.
Ki ukweli taifa na dunia kwa ujumla tutakukumbuka kwa utendaji wako wa kazi mzuri uliotukuka, tutakukumbuka kwa usimamiaji wako wa sheria jeshini na kutumia cheo chao kuilinda na kuisimamia katiba yetu, tutakukumbuka kwa kuondoka ukiiwacha nchi yetu ikiwa katika mikono salama, lakini pia utakumbukwa kwa kutii mamlaka ya raisi kwa mujibu wa katiba na sheria zetu za nchi.
Unakwenda kuwa miongoni mwa viongozi wa jeshi waliokuwa na walio bora muda wote. Najua nina mengi ya kuandika kuhusu sifa na weledi wako mkubwa ulioonesha katika keshi letu, ila kutokana na muda naomba niishie hapa.
Asanteni.
Ki ukweli taifa na dunia kwa ujumla tutakukumbuka kwa utendaji wako wa kazi mzuri uliotukuka, tutakukumbuka kwa usimamiaji wako wa sheria jeshini na kutumia cheo chao kuilinda na kuisimamia katiba yetu, tutakukumbuka kwa kuondoka ukiiwacha nchi yetu ikiwa katika mikono salama, lakini pia utakumbukwa kwa kutii mamlaka ya raisi kwa mujibu wa katiba na sheria zetu za nchi.
Unakwenda kuwa miongoni mwa viongozi wa jeshi waliokuwa na walio bora muda wote. Najua nina mengi ya kuandika kuhusu sifa na weledi wako mkubwa ulioonesha katika keshi letu, ila kutokana na muda naomba niishie hapa.
Asanteni.