Kwa wimbi hili la Watanganyika kuhamia Zanzibar, tujiandae wazanzibar kupoteza utambulisho wetu ndani ya miaka kumi ijayo

sisi tunataka tuwarisishe watoto wetu ARDHI tuliotunukiwa na MUUMBA WETU KAMA NYINYI MLIVYOPEWA PIA NA MUUMBA WENU



Kwani watu wa bara wanakuja huko zenji kupora ardhi???-- na wewe si uje huku kupora ardhi bwelele, mnang'ang'ania kujibana kwenye ardhi kiduchu hata nyinyi wenyewe itafikia muda mtapigana kugombea hiyo ardhi kiduchu kwani nyie mnazaliana sana.
 
Nilijua mtakuja na mifano hii ya wapemba wa Ilala lkn ikumbukwe kwamba hata WAZANZIBAR wote wahamie huko hakuna tishio la nyinyi kimezwa ila sisi kwa.mnavyotufanyia utambulisho wetu utapotea mkuu
Duh umenikumbushs maneno ya mar. Dr. Omar Juma kuwa Wazanzibar kuja Tanganyika si tishio bali kinyume. Fikira potofu .
 
Kweli ujinga na umaskin ndiyo adui mkubwa wa taifa hili ambae amezaa watoto waitwao rushwa na uhujumu uchumi huyo mto hoja ni moja wa wathirika wa gonjwa la ujinga.
 
Hali ya Watanganyika kuhamia visiwani imekua ya kutisha sana tulitegemea kwa vile wenzetu wana eneo kubwa sisi ilikua ndio tunufaike na ardhi yao lakini sasa mambo ni kinyume mamia wa Watanganyika kila leo wanahamia ZANZIBAR kwa kasi ya ajabu sana wauzakaranga,sigara,mifuko,omba omba bodaboda,washona nguo,fundi viatu vibaka,wauza miili nk makundi yote haya yametapakaa kila kona wingi wa watu sasa hivi ni wakutisha hatuna sehemu za kuishi hatuna sehemu za kupumzika kila pahala WASUKUMA WANYAMWEZ sijui nani wamejazana mpka basi ukitakakujua tunavyovamiwa kaangalie SENSA YA WATU NA MAKAAZI utaona jinsi tunavyoongezeka ktk hali ya hatari sana nikweli nyinyi ni NDUGU ZETU WA DAMU lkn na sisi tunataka tuwarisishe watoto wetu ARDHI tuliotunukiwa na MUUMBA WETU KAMA NYINYI MLIVYOPEWA PIA NA MUUMBA WENU
Mliyataka wenyewe
 
Hali ya Watanganyika kuhamia visiwani imekua ya kutisha sana tulitegemea kwa vile wenzetu wana eneo kubwa sisi ilikua ndio tunufaike na ardhi yao lakini sasa mambo ni kinyume mamia wa Watanganyika kila leo wanahamia ZANZIBAR kwa kasi ya ajabu sana wauzakaranga,sigara,mifuko,omba omba bodaboda,washona nguo,fundi viatu vibaka,wauza miili nk makundi yote haya yametapakaa kila kona wingi wa watu sasa hivi ni wakutisha hatuna sehemu za kuishi hatuna sehemu za kupumzika kila pahala WASUKUMA WANYAMWEZ sijui nani wamejazana mpka basi ukitakakujua tunavyovamiwa kaangalie SENSA YA WATU NA MAKAAZI utaona jinsi tunavyoongezeka ktk hali ya hatari sana nikweli nyinyi ni NDUGU ZETU WA DAMU lkn na sisi tunataka tuwarisishe watoto wetu ARDHI tuliotunukiwa na MUUMBA WETU KAMA NYINYI MLIVYOPEWA PIA NA MUUMBA WENU
wamezidi wazanzibar kuhamia bara. wengi sana wanafanya kazi kwenye serikali kuu na serikali za mitaa, mapolisi n.k. ni ujinga wao kuja lakini hawataki sisi twende kwao. hata hivyo, niende kufanya nini kule wanachapana wao kwa wao wakiwakilishwa na yule polisi?
 
Hali ya Watanganyika kuhamia visiwani imekua ya kutisha sana tulitegemea kwa vile wenzetu wana eneo kubwa sisi ilikua ndio tunufaike na ardhi yao lakini sasa mambo ni kinyume mamia wa Watanganyika kila leo wanahamia ZANZIBAR kwa kasi ya ajabu sana wauzakaranga,sigara,mifuko,omba omba bodaboda,washona nguo,fundi viatu vibaka,wauza miili nk makundi yote haya yametapakaa kila kona wingi wa watu sasa hivi ni wakutisha hatuna sehemu za kuishi hatuna sehemu za kupumzika kila pahala WASUKUMA WANYAMWEZ sijui nani wamejazana mpka basi ukitakakujua tunavyovamiwa kaangalie SENSA YA WATU NA MAKAAZI utaona jinsi tunavyoongezeka ktk hali ya hatari sana nikweli nyinyi ni NDUGU ZETU WA DAMU lkn na sisi tunataka tuwarisishe watoto wetu ARDHI tuliotunukiwa na MUUMBA WETU KAMA NYINYI MLIVYOPEWA PIA NA MUUMBA WENU
Kweli wewe ni dega!
 
Hali ya Watanganyika kuhamia visiwani imekua ya kutisha sana tulitegemea kwa vile wenzetu wana eneo kubwa sisi ilikua ndio tunufaike na ardhi yao lakini sasa mambo ni kinyume mamia wa Watanganyika kila leo wanahamia ZANZIBAR kwa kasi ya ajabu sana wauzakaranga,sigara,mifuko,omba omba bodaboda,washona nguo,fundi viatu vibaka,wauza miili nk makundi yote haya yametapakaa kila kona wingi wa watu sasa hivi ni wakutisha hatuna sehemu za kuishi hatuna sehemu za kupumzika kila pahala WASUKUMA WANYAMWEZ sijui nani wamejazana mpka basi ukitakakujua tunavyovamiwa kaangalie SENSA YA WATU NA MAKAAZI utaona jinsi tunavyoongezeka ktk hali ya hatari sana nikweli nyinyi ni NDUGU ZETU WA DAMU lkn na sisi tunataka tuwarisishe watoto wetu ARDHI tuliotunukiwa na MUUMBA WETU KAMA NYINYI MLIVYOPEWA PIA NA MUUMBA WENU
unataka kwenu pawe kwenu ila kwetu pawe kwa kwetu sote huo ukichaa tafuta mchungaj akutoe
 
Kweli wewe ni dega!
Hivi tukirudisha Wapemba wote kwao watakaa wapi huko? Kwanza wakiondoka meneo mengi ya biashara yatabaki wazi kwaajili ya Wabara walioko huko na Haki ya mama wakisikia wapemba wamerudi kwao, fasta watrudi bara kufanya biashara zao. Ukifanya biashara na Mpemba ni ushirikikina, kwenda mbele sema sasa Wakinga wamewazidi kete wakakimbilia pembezoni mwa mji.
 
Back
Top Bottom