Jitihada
Senior Member
- Feb 6, 2011
- 155
- 10
Natumai mpo poa wote! Nnatatizo 1 ambalo huwa nnapotumia mozila firefox kuingia ktk account yangu ya facebook inafunguka vizuri bila shida, sasa tatizo linatokea nnapokuwa nnachat na marafiki walio online kupitia hiyo facebook nikichat kama mara tatu au nne mozila inagoma kuendele na inajifunga hapohapo, mpaka nifungue upya tena na tatizo linaendelea kujirudia tena na tena inakuwa kama loop vile, kwa ajuae msaada plz.