engmtolera
JF-Expert Member
- Oct 21, 2010
- 5,150
- 1,437
Nimekuwa naamini kuwa kati ya dhambi kubwa marais wa Nchi hii wanafanya ni kutompa Magufuli uwaziri mkuu. Najua ana mapungufu mengi lakini ni mtu anayependa sana kupata sifa kwa kufanya jambo fulani la manufaa kwa wananchi, sio sifa za bure. Watanzania tuna tatizo la kutotekeleza majukumu yetu tusiposimamiwa kwa karibu. Na hicho Magufuli anaweza, kusimamia ishu mpaka akakukera! Na kiongozi wa namna hiyo ndio anahitajika Tizii. Naomba nisiwe mnafiki, asiposimama Slaa 2013, kura ntampa Magufuli au Lowasa (CCM) wakimsimamisha mmoja wao. Kinyume cha hapo ntapiga kura ya diwani na Mdee tu.
Hicho cha kukera ndicho watanzania hawakipendi,wanapenda kiongozi anayeweza cheka nao na kazi ikalala.kiukweli kiboko ya wavivu ktk hii nchi ni Dr Magufuli na kama akipata nafasi watapiga mbizi sana watanzania na hapo ndipo maendeleo yatapatikana