mchekeshaji bora ni Magufuli!
aliyepiga push up jukwaani.
cheo cha "SIR" unakipataje ?Ikumbukwe kuwa Chplin ni sir
Cheo cha sir kinatolewa na malkia pekee dunia nzima na ni watu wachache sana na wenye ushawishi mkubwa kwa jamii ndo hupata cheo kama hicho mfano (sir Isack Newton,sir bobby Charlton na sir Alex fugerson) hao ni baadhicheo cha "SIR" unakipataje ?
shukran kamandaCheo cha sir kinatolewa na malkia pekee dunia nzima na ni watu wachache sana na wenye ushawishi mkubwa kwa jamii ndo hupata cheo kama hicho mfano (sir Isack Newton,sir bobby Charlton na sir Alex fugerson) hao ni baadhi
Umeniwahi ndugu, tena muanzisha uzi usije ukaleta upuuzi wa namna hii humuUsimlinganishe chaplin na mambo ya kijinga jinga.
Kwaiyo unalingishia ujingaKuna jamaa mmoja anaitwa Buster Keaton. Ni soo... Huyo ndio wa kumpambanisha na Charlie Chaplin coz wakati Chaplin ana hit uingereza jamaa alikua ana hit marekani miaka ya 1920's