bt chupa za bia zimeboresha unaongelea zipi?BW hawa watu sijui wanatuonaje.Hawajaona miguu chuapa ya bia x2 bado!
Za zamani...achana na hizi za "kisasa"!bt chupa za bia zimeboresha unaongelea zipi?
Kuna kitoto kimoja cha kichaga nakifahamu kina mguu wa hatari sana! Halafu cheupee, kimenona hicho! Basi tu, wengine tumekuwa wakubwa siku hizi, tunabaki kusifia tu uumbaji wa Mungu.
Ahhh wapi cku izi wana usafiri acha utani wewe! We hujui tu
Njoo angalia wa kwangu