Mvaa Tai
JF-Expert Member
- Aug 11, 2009
- 6,159
- 4,443
- Thread starter
- #161
kama inawezekana omba likizo
ya siku kadhaa au hata wiki
mfwate mkeo,ila sikushauri utoke nje!!
mi ni mama mtu mzima nimecoment kwa
niaba ya huby wangu!!
Asante mama ila napenda zaidi kupata comment za wababa maana wao wanaelewa hali yangu