bora umenipa taarifa.ngoja nifanye booking nashera hotel
Habari nilizozipata jana jioni, walikuwa wanafanyiwa usaili kupitia watu wenye vipaji vya sanaa (kuimba, kucheza, kupiga ngoma, kinanda n.k)
Watu wanapenda jeshi sana sijui kwa sababu gani?? Watu wanapenda bure,dalaladala bure,vinywaji bei rahisi,electronics bei rahisi,,,ndio kinachowapeleka watu huko haaaa sijawahi waza kujiunga na jeshi.
huogopi kuadamiwa malima mkuu??
Hv vnahitajka v2 gan! Mana nataka kutmba