GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 57,130
- 110,528
Tunakoelekea sasa Mheshimiwa Rais Samia tutakutajia Watendaji wako (hasa Mawaziri, Wabunge, Wakuu wa Mikoa na Wilaya) wenye Unafiki mkubwa ambao GENTAMYCINE huwa napata Taarifa zao kupitia kukutana nao baadhi, Wanafamilia Wao, Ndugu zao, Madereva, Wasaidizi Ofisini na Walinzi wao na hata Mahawara zao ambao Off Mic wanakupinga na wanakuponda sana juu ya Sakata zima la Uwekezaji wa DP World na hata Uongozi wako, ila wakiwekewa tu Mic na Watu wa Media wanaliunga mkono na Kukusifia utadhani Wewe ni Malaika wakati kumbe ni Mwanadamu kama Sisi Wengine.
Mnaendekeza tu Njaa na si Uhalisia.
Mnaendekeza tu Njaa na si Uhalisia.