Tunawasubiri huku uraiani tutaimba nao waache waendelee kutuzidishia hasira mwisho wao umefika na utakua mbaya na waaibu kuliko wa gadafi watu wazima hovyo kabisa nikiwaona magamba najisikia kutapika
wewe babu,namawazo yako mgando.hapa jamvini mpo watatu tu sisim.hadi 2012 nawewe utakuwa umesha tuelewa maana kichwa yako ni jiwe,ndipo utachukua maamzi magum.ya kuingia cdm.kumbe na wewe ni mwana cdm ila kigeugeu