Kwa waliowahi kuishi Iringa, comment hapa tafadhali

Kwetu kalenga;bagia zile ukitowelea na ulanzi.nikaja kusoma mwembetogwa na highland sekondsri nilikomkuta chizi mmoja aliyejiita mwalim Chodota.alikuwa anapiga balaa na alikuwa anavaa mashati ya kike bila kujijua- blauzi.siku moja tukiwa mistarini na yeye akiwa mbele yetu alisema kwa sauti kali kama radi,'nasikia kuna watu wanasema mimi navaa blauzi.nikivaa mimi ni shati,akivaa mama yako ni blauzi.'
 
Nimesoma iringa ,dabaga kata ya idete huko kilolo kijiji cha itonya ,mpaka darasa la tano,nikahamia ifunda kijiji cha itengulinyi, mpaka darasa la saba ,nikajiunga na donbosco mafinga,nikafukuzwa cos ya ulanzi.nikaenda mafinga seco school miaka mnne,ulanzi na mkalifya sanaaaaa.......
 
Dahh...long time sana,nilikuwa pale Mafinga Seminary miaka ya tisini,Rector wetu Padre Massika a.k.a Kefa,majirani zetu Don Bosco,MET SEC ambayo ndio JJ MUNGAI ya sasa...Kawawa Sec,kuna Padre Pangot bepari wa mashamba ya ngano na alizeti....wapi Fisi na Njata????nakumbuka sana Easter conference Tosa,kuna siku mchana tupo Easter conference kukawa na demu fulani mzuri sanaaa...anatokea Cagliero Sec,tumekula chakula cha mchana tupo somo,sasa pametuliaaaa...demu kalala,wacha aja.mbe kwa nguvu "buuuuu“,watu weweeeeeee...sista duh kustuka anakuta watu woote wanamtazama...aibuuuuuuuuuuuuu!!!!!nimepamiss sana Iringa na Mafinga...John`s corner,Shimoni,Kamadolesi.....When i come home...i will.visit...love u Iringa
 
Nimesoma iringa ,dabaga kata ya idete huko kilolo kijiji cha itonya ,mpaka darasa la tano,nikahamia ifunda kijiji cha itengulinyi, mpaka darasa la saba ,nikajiunga na donbosco mafinga,nikafukuzwa cos ya ulanzi.nikaenda mafinga seco school miaka mnne,ulanzi na mkalifya sanaaaaa.......
mkuu mi wa Isupilo
 
Umenikumbusha mbali sana chama letu kubwa la pomerini enzi za miaka ya 1990s chipsi za kwa dononda ,kuoga na kufua maporoko , na mwalimu wetu ngogo kuamka saa 11, kweli kile kilikuwa kama kituo cha jkt

Mkubwa nilikuwa Pommern toka 1989 mpaka 1992, kwa dononda si mchezo mwana
 
Nimesoma Lugalo sekondari Alevel 2002-2004. Nakumbuka kihesa chips za kisomaa tamu balaa. Iringa nilipapenda
nyie ndo A level wa kwanza lugalo,nakumbuka tuliwapa tabu, kuna mwenzenu alikuwa anaitwaga fredy tulipiga asee, ule ugomvi ulikuwa mkubwa pale lugalo, ila totoz za level zilikuwa nzuri tukawa tunajimegea tu wacha mtuchukie
 
Kwetu kalenga;bagia zile ukitowelea na ulanzi.nikaja kusoma mwembetogwa na highland sekondsri nilikomkuta chizi mmoja aliyejiita mwalim Chodota.alikuwa anapiga balaa na alikuwa anavaa mashati ya kike bila kujijua- blauzi.siku moja tukiwa mistarini na yeye akiwa mbele yetu alisema kwa sauti kali kama radi,'nasikia kuna watu wanasema mimi navaa blauzi.nikivaa mimi ni shati,akivaa mama yako ni blauzi.'

da nmecheka sana,huyo mwl alikuwa mtambo
 
Aisee Iringa sitapasahau.nilisoma A level Ifunda tech 2003-2005 jmosi tunaenda shopping mnadani na madukani sehemu fulani inaitwa kibaoni.
 
Ifunda tech 1997 - 2000 nawakumbuka sana walimu wangu wa kipindi hicho:- mwl mbata (Chemistry), mwalimu Kaguo (English) mwalimu Mwihava (Kiswahili) mwalimu Shabani (electronics) mwalimu Rafael maarufu per time taken, mwalimu Mng'ong'o, mwalimu mnyambwa, mwalimu lema, mwalimu kajembura, mwalimu chikota, mwalimu luanda na mwalimu luhwago (academics) mwalimu mnaroma (secondmaster) bila kumsahau head of school Mr. Mnenuka na wengine wengine

napakumbuka Ifunda chuo kwenda kunywa maji ya kisima, mtoto lwandembela kwenda kufua jumamosi au jumapili, kibaoni madukani na mnada wa kobaoni pia kwa mama (pale mgahawani - karibu na mashine ua shule ya kusaga mahindi)

kwa mama Tembo kwenda kula Shaba (kununu ukuko wa wali na pilau)
 
Back
Top Bottom