Kwa waliowahi kuishi Iringa, comment hapa tafadhali

daahhh Mie nimepiga Highland nakuishi Kihesa na Semtema ila mtaa huo unaongoza kwa ngono na ngoma aisee

Mbona hayo mambo yapo kila Sehemu mkuu, sawasawa na wale waliokuwa wanasema Hakuna sehemu yenye Ukimwi kama Makete kumbe ni Uongo tu.
 
Nilisoma chuo Ruaha University kati ya mwaka 2010/2014, nilishi Wilolesi mwaka wa kwanza na miaka iliyobaki nikaishi Gangilonga, Kuko poa, kumetulia, hali ya hewa ya ubaridi kama Ulaya, sasa zile bata sasa dahh, Pizza wa pale saivila, Clubs twisters mpaka sasa laparte, shooters, Miami bar na zile nguruwe za mabanda ya CCM hakika nilienjoy sana Maisha yangu ya Chuo pale iringa
 
Mafinga sasa hivi JJ Mungai hapo 1997-2000 ticha maarufu kwa jina KP uyu alikuwa na duka la mitumba ya viatu sokoni, vazi lake kila leo ni white shirt na tai, na joho jeupe. Ticha mahili kwa usafi wa mazingira, alianzisha kampeni za kupanda ukoka wakat wa kiangazi kwa kutumia wapiga kelele, watoro, wachelewaji na zoezi ikafanikiwa kwa kasi ya ajabu sana, likiambatana na viboko aka bakora za mihecha miti maarufu sana huko mufindi, miaka 15 badae ili shule ni greenish si kiangazi si masika utaipenda. Heko bakora bwana Kipangule

Wewe lzm nakujua....mm pia nimesoma apo miaka hyo...daaah.....Kipangule namba nyingine....mr.Bakari..?maskini kimewashambulia walimu hawa hadi huruma.
 
Tosamaganga advance duh mabanzi kwa masister na maandazi kwa pora mtoto Wa mwalimu sadani alikuwa analeta kule vbamdani sema nmemkumbuka sana headmaster wetu charwe r.I.p Charwe sijawah kumuona headmaster kama yule
 
Wewe lzm nakujua....mm pia nimesoma apo miaka hyo...daaah.....Kipangule namba nyingine....mr.Bakari..?maskini kimewashambulia walimu hawa hadi huruma.

Mr Bakari enzi zile ndio alikuwa mwl wa A level, kama unakumbuka form five walikuwa wasichana watatu tu, yule binti wa Tcha Kibiki, na wale masisteri 2 weupe ndio badae wakaingia akina Tyson. KP pia alikuwa anafundisha Language kwa hao A level, du utawala ule wa Sir Usangira na vimiwani na carwash zake assemble daaaa yuko wapi Matupa?
 
Mr Bakari enzi zile ndio alikuwa mwl wa A level, kama unakumbuka form five walikuwa wasichana watatu tu, yule binti wa Tcha Kibiki, na wale masisteri 2 weupe ndio badae wakaingia akina Tyson. KP pia alikuwa anafundisha Language kwa hao A level, du utawala ule wa Sir Usangira na vimiwani na carwash zake assemble daaaa yuko wapi Matupa?

Yaan long tym sana daah....matupa alienda kidugala kipindi hicho shule imebadilishwa kwenda serikalini...cjui kama bado yuko huko.Mwakajana nilionana na kp na bakari kisukari kinawasumbua kweli...sio wale wa enzi zile
 
B
Mkuu Ay alikua anatoka ifunda kwenda Donbosco kurap kpindi wako ifunda walikua wanajihita SOG ma wakija iringa town wanafikia ilala kwa jamaa anaitwa KG,mkwawa wakati huo wako kina Marehemu Vivian na Big mama,Tosa wakati huo wako Zero Brain kina Kaiss toka tambaza,Sultan na Mzindakaya haaa!c ndio wenyeji wa hawa jamaa pale mkoa bana akuna deal isipite kwetu now dayz kuna wadogozetu pale km Braisony Tweve hapo uliza chochote utapata hata km.....
Tweve B.. Mzee wa mbinu..
Haahaa
 
nakumbuka mwaka 2003-2004 sekondari mkwawa,ukiwa na 500 siku nzima uingii mesini,unaenda sehemu inaitwa makanyagio.100 asubuhi unapata chai kwa maandazi matatu,mchana 200 wali kwa maharage,jioni 200 tena unapata wali kwa maharage.
Nilisoma hapo Advanced enzi hizo tukipaita sub university Makanyagio tulikuwa tunapiga ulanzi kwa sana
 
Kilolo-ndiwili
Ipamba
Tosamaganga
Gangilonga
Kihesa
Mashine tatu
Kagrielo
Sambala lodge
Kote nimeishi...
 
Back
Top Bottom