Ndondocha mkuu
JF-Expert Member
- Feb 17, 2014
- 2,354
- 2,763
Nami nimechaguliwa pale kwenda kidato cha tano.
ile ilikuwa zaidi ya shulee,,nilikuwa pale 2000 mpka 2002,,shelimoooo ni nyokoooooooooooo
ile ilikuwa zaidi ya shulee,,nilikuwa pale 2000 mpka 2002,,shelimoooo ni nyokoooooooooooo
Napenda kukumbushana na wana jf kwa wale walopita kigonsera nini unacho kimisi walimu gani unao wakumbukaa Nikianza na mm nilikua pale 1991/1994 Twiga house. Nammiss sana Papalika Mlasu Mbonde
ooooh kigo wapi ntangu a.k.a lobot,mashine,shanti,
wapi sir mgimba
wapi mwasenga
mbepera
mwakalukia
madam nzirano
madam kiwope
wazee wa minazi,harare mkurusi na mchumba mpooo
dah, mimi nilikuwa wa simba dom. mlasu nilikuwa sijui kama kafa. rip. balugu nakumbuka mwaka 2001 alipigwa na form six mmoja hivi aliyekuwa mcheza karate, alipigiwa pale juu walipokuwa wanauza vimbolo a.k.a vidole, vile vidude vya kutafunia (wanaita hivyo). shelimo alikuka kuhamia hapo pugu, siku hizi sijui ameenda wapi. sitasahau kitimoto ya halale kule chini na ndizi za kimatengo. ila kuna siku wamatengo walichoma msitu kimila shule yetu ilipona...hahahahaR.I.P Mlasu! Vipi Balugu na Naneka umewasahau!
Denis fusi ulikua mwaka gani
ile ilikuwa zaidi ya shulee,,nilikuwa pale 2000 mpka 2002,,shelimoooo ni nyokoooooooooooo
Mkuu mimi nilikuwa jirani yenu pale Likonde Seminary 1998-2000,nakumbuka mechi za mpira wa miguu kigonsera na likonde seminary ilikuwa si mchezo.
Nilisoma pale 1963-1966. Namkumbuka sana Father Gotard, mwalimu Mahai, mwanafunzi mwenzangu kalubandike. Tulikuwa tunaiba sana mihogo ya bruda Lukundus.