MUIKOMA
Member
- Nov 1, 2011
- 35
- 8
Wana bodi hamjambo?
Kwa wataalam waliopitia level hii ya FTC ninomba kujua kama mdogo wangu anaweza kupata chuo cha kuendelea na elimu juu kwani ana B moja ya mathematic, C tatu, D moja na F moja ya FTC in highway engineering kutoka D.I.T mwaka 2002. Alishindwa kusuppliment kutokana na kupitiliza muda wa miaka 3 ambayo ilikuwa maximum duration ya kusup. Naombeni ushauri wenu, nifanyaje ili aendelee na elimu zaidi. Mods nisameheni kwani najua wengi wanapita jukwaa la siasa. Mbarikiwe sana
Kwa wataalam waliopitia level hii ya FTC ninomba kujua kama mdogo wangu anaweza kupata chuo cha kuendelea na elimu juu kwani ana B moja ya mathematic, C tatu, D moja na F moja ya FTC in highway engineering kutoka D.I.T mwaka 2002. Alishindwa kusuppliment kutokana na kupitiliza muda wa miaka 3 ambayo ilikuwa maximum duration ya kusup. Naombeni ushauri wenu, nifanyaje ili aendelee na elimu zaidi. Mods nisameheni kwani najua wengi wanapita jukwaa la siasa. Mbarikiwe sana