Ta Muganyizi
R I P
- Oct 19, 2010
- 5,361
- 2,734
- Thread starter
- #21
Ndugu,
Haki ya Mungu, nami napanga safari
Karibu sana Mzee
Ndugu,
Haki ya Mungu, nami napanga safari
View attachment 51447
Siku hizi Bukoba na maeneo mengine hadi vijijini ndani mziki marufuku kupigwa kwa kutumia radio casseti,au deck ya cd, Sharti uwe na Desktop au Laptop!!!! Ukijichanganya ukashikwa na mtendaji huna advanced computer utakoma. Na lazima Computer iwe na RAM kubwa kusudi usichelewe kuweka nyimbo za Saida!!!
View attachment 51437
Jamani hiyo kitu inaitwa ntuntunu............yaani ukiiila hiyo sijui nikwambieje...........siku moja moja mrudigi nyumbani.
View attachment 51438
Kwa kweli ukishushia na " Kantu kaitu kaila" a.k.a Nkonyagi kwa kweli huhitaji la zaidi kufurahi kijijini huku.
View attachment 51439
Maandalizi ya Nsanyuse sasa hapo............loh ngoja iive uone.
Kuna matunda fulani yanaitwa 'enkelele', unayafahamu?
ta baada ya kula hiki chakula atarusha sana maji
View attachment 51447
Siku hizi Bukoba na maeneo mengine hadi vijijini ndani mziki marufuku kupigwa kwa kutumia radio casseti,au deck ya cd, Sharti uwe na Desktop au Laptop!!!! Ukijichanganya ukashikwa na mtendaji huna advanced computer utakoma. Na lazima Computer iwe na RAM kubwa kusudi usichelewe kuweka nyimbo za Saida!!!
hapa ni pande zipi mkuu?
nimependa sana