Ta Muganyizi
R I P
- Oct 19, 2010
- 5,361
- 2,732
Jamani hiyo kitu inaitwa ntuntunu............yaani ukiiila hiyo sijui nikwambieje...........siku moja moja mrudigi nyumbani.
Kwa kweli ukishushia na " Kantu kaitu kaila" a.k.a Nkonyagi kwa kweli huhitaji la zaidi kufurahi kijijini huku.
Maandalizi ya Nsanyuse sasa hapo............loh ngoja iive uone.