Kazi ya Jamii Forums sio tu kupashana habari, Social Networking,nk. bali pia kusaidiana pale inapowezekana.
Nimeona watu wana shida ndogo ndogo katika masuala ya technology upande wa Computer(Laptop and Desktop) na simu hivyo naona sio mbaya nikitoa mchango wangu.
Nipo hapa Sayansi- Kijitonyama kama una shida yoyote ya computer au simu sanasana upande wa software( kudownload program/software hata movie/music,instal na uninstall software,virus problems etc) unaweza kuwasiliana na mimi na kama unaweza kuja pia hakuna tatizo.
Sitozi gharama yoyote unless kuna kitu cha kununua, naamini nikitatua tatizo la mtu na mimi ninakuwa nimejifunza kitu.
Wadau kama C6 Mwl.RCT @njunwa wamavoko @shiny c na wengineo pia wanaweza kuendelea kutoa msaada kadri ya uwezo wao.
Nimeona watu wana shida ndogo ndogo katika masuala ya technology upande wa Computer(Laptop and Desktop) na simu hivyo naona sio mbaya nikitoa mchango wangu.
Nipo hapa Sayansi- Kijitonyama kama una shida yoyote ya computer au simu sanasana upande wa software( kudownload program/software hata movie/music,instal na uninstall software,virus problems etc) unaweza kuwasiliana na mimi na kama unaweza kuja pia hakuna tatizo.
Sitozi gharama yoyote unless kuna kitu cha kununua, naamini nikitatua tatizo la mtu na mimi ninakuwa nimejifunza kitu.
Wadau kama C6 Mwl.RCT @njunwa wamavoko @shiny c na wengineo pia wanaweza kuendelea kutoa msaada kadri ya uwezo wao.