Arnold Ndosi
Member
- Aug 14, 2012
- 65
- 3
Habari Ndugu Zangu?ninamatumaini Kwamba Niny Wazma.
Kwa Wale Wapenda Kazi Za Chinua Achebu,mwandishi Maarufu Mnaigeria, Nimepata Habari Kwamba Babu Huyo Kapublsh Kazi Nyngne Kali Sana Inayoitwa"there Was A Country"
Mzee Wetu,Achebe Anadai Kwamba Hiyo Riwaya Inazungumzia taifa liitwalo "biafra" liliyoundwa Masharik Mwa Nigeria Kwny miaka ya 60 ndani ya na mtu aitwae ojumku wa kabla la igbo.
anasisitiza kwamba,anamejaribu kupredict maisha yabaadae ya Nijeria Kwa Sabubu Eti Itaweza Vunjika Baada Ya Kuundwa Kwa Serekali Nyngne Huru Ya Kikundi Cha Waislamu Wenye Itikad Kali Wajiitao 'boko Haramu"kutoka Kaskazn Mwa Nigeria.
Huyo Mzee We2 Anasema Umri Wake Umeenda Sasa Na Hiyo itakuwa Ni Kazi Yake Ya Mwisho.
Mnasemaje Kuhusu Hayo Wana Jf?
Kwa Wale Wapenda Kazi Za Chinua Achebu,mwandishi Maarufu Mnaigeria, Nimepata Habari Kwamba Babu Huyo Kapublsh Kazi Nyngne Kali Sana Inayoitwa"there Was A Country"
Mzee Wetu,Achebe Anadai Kwamba Hiyo Riwaya Inazungumzia taifa liitwalo "biafra" liliyoundwa Masharik Mwa Nigeria Kwny miaka ya 60 ndani ya na mtu aitwae ojumku wa kabla la igbo.
anasisitiza kwamba,anamejaribu kupredict maisha yabaadae ya Nijeria Kwa Sabubu Eti Itaweza Vunjika Baada Ya Kuundwa Kwa Serekali Nyngne Huru Ya Kikundi Cha Waislamu Wenye Itikad Kali Wajiitao 'boko Haramu"kutoka Kaskazn Mwa Nigeria.
Huyo Mzee We2 Anasema Umri Wake Umeenda Sasa Na Hiyo itakuwa Ni Kazi Yake Ya Mwisho.
Mnasemaje Kuhusu Hayo Wana Jf?