Kwa wale waliosoma Seminari za Katoliki

Vp kwenye mgomo wa kushinikiza kande badala ya ugali ulikukuta? Sitasahau tulipoenda kukaa uwanjani then Rector Fumakule aka Dudu alipoanza kuita majina mmoja mmoja then anakuuliza 'unakula au huli',,ilikua kvumbi kwa form 1 maana wote walijikuta wanasema 'nakulaaaa' alipofika kwa form 2 sasa,woooote wakajibu 'hatuliiiii' ilikua siku ya tata kweli maana 'mpugo' ulikua nje nje!

Haha,ule mgomo nilikuwa form3,nadhan,siku ile ilikuwa balaaa et tukaenda uwanjan kisha dudu marehem,akaja na majina,form 1 wakawa wanasema tunakula huku wanatikisa vichwa kama vile wanakataaaa hahahhahaha.ila tulifanya kwel siku ile sema kuna wasalit walianz kutajana na majembe yangu kibao yalitimuliwa.nashukuru mungu nilimaliza japo nilichezeaga suspension moja
 
Kuna ticha mmoja pale makoko alikuwa anaitwa fullmercy hahhaha alikuwa kapinda huyo.afu na mwana wa mtu,Rocky,rwiza,bwenu n.k
 
bila kusahau st.peters seminary ya morogoro...hakika ilikuwa ni kama mbinguni...wale wa desert...

Unanikumbusha ujana ulivyokuwa umetukamata,,,hawa vijana wa st. Peters walikuwa wana kawaida ya kutoroka saa 1 usiku na kuingia mtaani kununua maandazi,, basi tulikuwa tukikutana nao tunawapora mfuko wa maandazi halafu tunawafukuza kwa kuwatishia kuwakamata na kuwapeleka kwa walimu wao kuwa wametoroka,,basi wanakuwa wapole wanakimbia kurudi zizini.
 
Unanikumbusha ujana ulivyokuwa umetukamata,,,hawa vijana wa st. Peters walikuwa wana kawaida ya kutoroka saa 1 usiku na kuingia mtaani kununua maandazi,, basi tulikuwa tukikutana nao tunawapora mfuko wa maandazi halafu tunawafukuza kwa kuwatishia kuwakamata na kuwapeleka kwa walimu wao kuwa wametoroka,,basi wanakuwa wapole wanakimbia kurudi zizini.

ilikuwa mwaka gani hiyo......
 
Daaa mm nilipenda kwenda st peters lakin hali ya kiuchumi ndo, nashukuru nipo malezi now nayaexperience mnayosema,
 
Haha,ule mgomo nilikuwa form3,nadhan,siku ile ilikuwa balaaa et tukaenda uwanjan kisha dudu marehem,akaja na majina,form 1 wakawa wanasema tunakula huku wanatikisa vichwa kama vile wanakataaaa hahahhahaha.ila tulifanya kwel siku ile sema kuna wasalit walianz kutajana na majembe yangu kibao yalitimuliwa.nashukuru mungu nilimaliza japo nilichezeaga suspension moja

Mì mwenyewe kuna washkaji zangu nao walikumbwa na mpugo dah ilikua inauma,,zaidi sitasahau kizigo cha adhabu tulichopigwa,kusomba moramu ndoo 100.! Kuna kipemba mmoja anaitwa..... a.k.a Bake alikua chapel work ndo alikua mchomeshaji sana! Vp ulikua camp ipi ya manyigu au ya wale mabraz kaka wakiongozwa na B.N,,F.N a.k.a bichwa,,O.M,,a.k.a Nelly? Nadhani hao jamaa unawafahamu form 3 wenzako
 
Daaa mm nilipenda kwenda st peters lakin hali ya kiuchumi ndo, nashukuru nipo malezi now nayaexperience mnayosema,

pole sana mkuu...lakini mwisho umekuwa fratery na natumai upo mzumbe msalimu shemasi toronto na mikego´....hao ndo classmate wangu
 
Back
Top Bottom