Vp kwenye mgomo wa kushinikiza kande badala ya ugali ulikukuta? Sitasahau tulipoenda kukaa uwanjani then Rector Fumakule aka Dudu alipoanza kuita majina mmoja mmoja then anakuuliza 'unakula au huli',,ilikua kvumbi kwa form 1 maana wote walijikuta wanasema 'nakulaaaa' alipofika kwa form 2 sasa,woooote wakajibu 'hatuliiiii' ilikua siku ya tata kweli maana 'mpugo' ulikua nje nje!
bila kusahau st.peters seminary ya morogoro...hakika ilikuwa ni kama mbinguni...wale wa desert...
daahh mwl. Wangu wa geografia....mara ya mwisho aliniita akaniambia "nimeweza soma tabia watu wote hapa seminarini lakini wewe peke yako nimeshindwa"...mwisho wa kunukuu
Unanikumbusha ujana ulivyokuwa umetukamata,,,hawa vijana wa st. Peters walikuwa wana kawaida ya kutoroka saa 1 usiku na kuingia mtaani kununua maandazi,, basi tulikuwa tukikutana nao tunawapora mfuko wa maandazi halafu tunawafukuza kwa kuwatishia kuwakamata na kuwapeleka kwa walimu wao kuwa wametoroka,,basi wanakuwa wapole wanakimbia kurudi zizini.
nilikuwa darasa la kina jhuvaman, edmund......nlkuwa mtaalamu wa volleybal na second ground nlchezea garage. jp
Jpwaa sio...
end doesnt justify the means....kwani ulikuwa na wito wa upadre mkuu na je hadi sasa unao
Ndio mimi mkuu
Nimekupata mkuu, mm ni Al.Kam.
kumbe ni wewe dr......safi sana nakuelewa mwanaharakati wa ukweli. endeleza mapambano
Haha,ule mgomo nilikuwa form3,nadhan,siku ile ilikuwa balaaa et tukaenda uwanjan kisha dudu marehem,akaja na majina,form 1 wakawa wanasema tunakula huku wanatikisa vichwa kama vile wanakataaaa hahahhahaha.ila tulifanya kwel siku ile sema kuna wasalit walianz kutajana na majembe yangu kibao yalitimuliwa.nashukuru mungu nilimaliza japo nilichezeaga suspension moja
Daaa mm nilipenda kwenda st peters lakin hali ya kiuchumi ndo, nashukuru nipo malezi now nayaexperience mnayosema,
kaka harakati zipi hizo za kisiasa au kidini aiseee...