bakarikazinja
Senior Member
- Nov 9, 2009
- 177
- 8
Mtunzi mariama ba:
Madhari:senegal
hiki ni kitabu kina cho zungumzia ukombozi wa mwanamke katika jamii siyo tu katika nchi ya senegali bali dunia nzima kwa ujumla hivyo tunaona wahusika mbalimbali kama vile wakina ramatulayi ,binetuu,maudo,modufali,daba na hata fatmata malenga mshirikina alikuwa akitumia simbi kutabili mambo ya baadaye na bila kumsahau dauda dienga haya wana jamii/wanajamvi hebu tukumbushiane visa mbalimbali vilivyojili katika riwaya hii ya barua ndefu kama hii
Madhari:senegal
hiki ni kitabu kina cho zungumzia ukombozi wa mwanamke katika jamii siyo tu katika nchi ya senegali bali dunia nzima kwa ujumla hivyo tunaona wahusika mbalimbali kama vile wakina ramatulayi ,binetuu,maudo,modufali,daba na hata fatmata malenga mshirikina alikuwa akitumia simbi kutabili mambo ya baadaye na bila kumsahau dauda dienga haya wana jamii/wanajamvi hebu tukumbushiane visa mbalimbali vilivyojili katika riwaya hii ya barua ndefu kama hii