Mzalendowetu
Member
- May 22, 2012
- 87
- 34
Dakawa High. School ni moja kati ya shule nilizopitia ambazo daima nitazikumbuka. Ebu tujikumbushe yafuatayo:
1. Kijame: Huyu alikuwa ni headmaster ambaye alijenga nidhamu kubwa kwa wanafunzi na walimu pia
2. Walimu : Hamis, Mlyuka, Makuka, Kasembe, Madam Minja, Mrema, Seimu n.k
3. Babu Mhina, Simon na Kluivert: Hawa walikuwa wapishi maarufu sana
4. Mlocho: Huyu mzee alichangia ufaulu wa wanafunzi hasa wakiume
5. Mzee Dakawa: Alikuwa ni mzee mwenye asili ya South Africa ambaye alibaki hata baada ya wakimbizi wa africa kusini kurudi kwao.
6. Loliondo na Chobei
7. Kujungu
8.....................
9.....................
10..................
11..............
Ongeza lako linalofanya kuikumbuka shule hii
1. Kijame: Huyu alikuwa ni headmaster ambaye alijenga nidhamu kubwa kwa wanafunzi na walimu pia
2. Walimu : Hamis, Mlyuka, Makuka, Kasembe, Madam Minja, Mrema, Seimu n.k
3. Babu Mhina, Simon na Kluivert: Hawa walikuwa wapishi maarufu sana
4. Mlocho: Huyu mzee alichangia ufaulu wa wanafunzi hasa wakiume
5. Mzee Dakawa: Alikuwa ni mzee mwenye asili ya South Africa ambaye alibaki hata baada ya wakimbizi wa africa kusini kurudi kwao.
6. Loliondo na Chobei
7. Kujungu
8.....................
9.....................
10..................
11..............
Ongeza lako linalofanya kuikumbuka shule hii