vodka,welcome to my world!
Jamani kama unajua ulishawahi kutembea na mume/mke wa mtu we sema tu. Hata kama ukataja/usipotaja na jina lako halisi sie tunachokuomba uombe msamaha kwa mhusika, kwani ni moja ya toba utakayoifanya hasa wakati huu wa kumalizia kwaresma.
Kuna haja ya kuomba toba hali pasaka nina miadi na mke wa mtu?
Tena usinilaumu inakua kama namtendea wema, huyo mwanamke
akifika kwangu wallah utadhani hajawahi kunwa anavolalamika.
Mgeni weeee!
Maneno hayo!
kweli shetan akizeeka anakua malaika
Ni mgeni jamii ila haya ndio
yale yale ya mtaani kwetu.
Hivi vodka ni me au ke
mwisho kutaja wangapi?
Maana wengine tutaomba booklet nyingine.