Michael Amon
JF-Expert Member
- Dec 22, 2008
- 8,775
- 3,610
Mhmm!!! Mimi ngoja ninyamaze maana nikisema zangu nitafunika wote na kuchukua tuzo ya uchakachuaji bora.
Jamani kama unajua ulishawahi kutembea na mume/mke wa mtu we sema tu. Hata kama ukataja/usipotaja na jina lako halisi sie tunachokuomba uombe msamaha kwa mhusika, kwani ni moja ya toba utakayoifanya hasa wakati huu wa kumalizia kwaresma.
ID mpya zisiruhusiwe, kwa hiyo asiye senior member asitaje,lol
mi mbona bado ninae na sitegemei kumuacha.....?
inaruhusiwa kuomba huo msamaha.....?
Jamani kama unajua ulishawahi kutembea na mume/mke wa mtu we sema tu. Hata kama ukataja/usipotaja na jina lako halisi sie tunachokuomba uombe msamaha kwa mhusika, kwani ni moja ya toba utakayoifanya hasa wakati huu wa kumalizia kwaresma.
King umepotelea wapi?
vodka,welcome to my world!