Gorilla Zoo
JF-Expert Member
- Nov 3, 2016
- 257
- 412
- Thread starter
- #41
tunatumia ili tu perfom vizuri huko kwenu kitu dkk 120
Ata sifahamu ila nadhani ule mapchachuuu lazima utakua na alcohol.
Acheni kutumia vilevi bana
tunatumia ili tu perfom vizuri huko kwenu kitu dkk 120
Ata sifahamu ila nadhani ule mapchachuuu lazima utakua na alcohol.
Acheni kutumia vilevi bana
safi sana clever girl mimi nlisahau kuweka stockwakati wametangangaza nimenunua zakutosha na kuweka kwenye dumu la lita tano ni mwendo wa kujidunga tu kiaina
we huwa ufikirii wakati ujao aisee? me huwa naishi kesho tehsafi sana clever girl mimi nlisahau kuweka stock
kwahiyo ulitaka tulewe kwa 30000 kisa tunakunywa juice inayoitwa beer yenye alcohol 5Kwa hili wamewaweza
Heshima lazima irudi kwa mnywa bia!
Haiwezekani mtu anabuk mbili tu alewe na kusumbua mtaa mzima kila siku!
Sasa mtakuwa mnalewa kwa matukio
tafadhali naomba tukutane mahali unifanyie counseling ya kuacha pombe.
Ata sifahamu ila nadhani ule mapchachuuu lazima utakua na alcohol.
Acheni kutumia vilevi bana
Tafuta mda mkuutafadhali naomba tukutane mahali unifanyie counseling ya kuacha pombe.
wakati mumeo alileta thread humu kua hua anakupiga show ya kutosha akipiga hivyo viroba vya buku 2 na hizo kelele hua unapiga weweHaaa haaa ...buku mbili mtu analewaaaa full kele le..
Safi sana Majaliwa
Nina muda kila siku, nakusikiliza wewe mtaalamu lini unaweza kuniweka kwenye ratiba yako.Tafuta mda mkuu
Kwa hili jibu mkuu nina imani wewe unatuzuga, stock unayo ndani na sasa hivi ushapendezawakati mumeo alileta thread humu kua hua anakupiga show ya kutosha akipiga hivyo viroba vya buku 2 na hizo kelele hua unapiga wewe
safi mkuu nzuri hiyoMimi nahamia kwenye ugoro na gongo, 700 yangu tu ninalewa mpaka sijielewi
hahahaah mkuu sina stock saivi nipo kwa mama muuza nasindikizia na supu na limao la kutoshaKwa hili jibu mkuu nina imani wewe unatuzuga, stock unayo ndani na sasa hivi ushapendeza
hahahaaaaInatakiwa uwe na utumbo wa jeans
kweli kabisa na mapato lazima yapungue hazina maana team viroba tulikua wengi sanaSoko la Gongo litaongezeka sana..
naitafuta no. yake kwa hamu sana ila ngoja nianze na jescaWangeweka tu faini bhana sio na mwezi juu huku ni kumuonea mlevi wa chini na kubaguana katoka starehe, kati ya wenye nacho na wasio nscho
Kwanza vipi hivi pm hana binti kweli
Unapotoshwa nmetumia hii kitu tangu npo std 6 mpk leo nipo vzur, kwanza ni tibaMkuu nasikia inakwangua kuanzia midomo koo hadi utumbo
nakuonea wivu mkuuOfu kozi wale tunaokaa mipakani tunaenda kuipata huduma hiyo nje ya nchi,, tunarudi na stimu za kutisha tuu mkuu
Kwenye gongo nako maaskari wanakamata!hahaha, dah turudi kwenye gongo sasa