Upo std 7 dogo ngoja ufike walau form four madhara utaanza kuyaonaUnapotoshwa nmetumia hii kitu tangu npo std 6 mpk leo nipo vzur, kwanza ni tiba
hizo za chupa nazo hazina stimu kama beer tuKama bia haipand ipo konyag value k vant zote kwa chupa
so ni chaguo lako tu
Sio lazima unywe pombe!hizo za chupa nazo hazina stimu kama beer tu
Spirit inaleta upofu haraka hatarWazee Wa viroba, kuna kitu inaitwa wanzuki, ebu tafureni, au kama vipi Kunyweni spiriti.
na wewe sio lazima u comment hapa unaweza pitaSio lazima unywe pombe!
Kunywa maji
Kwa hili wamewaweza
Heshima lazima irudi kwa mnywa bia!
Haiwezekani mtu anabuk mbili tu alewe na kusumbua mtaa mzima kila siku!
Sasa mtakuwa mnalewa kwa matukio
Tunafanana mkuu,mwenyewe hata niwe na pombe kali vp ndani Muda wote naiwaza yenyewe mpaka iishe ndio napata Amaninilienda kununua li whisky la russia lina 96% nikajua litafika mwezi nikienda nalo mdogomdogo ila week tu limeisha
Wanakuona ujue alaf watakutafuta.....!Tulio mipakani kama Mbeya huku ndio muda wa kupiga pesa, kuingiza mzigo toka malawi na zambia magendo....nadhani kwa wanaozijua product za huko wamenielewa
Jinga kweli wewe!na wewe sio lazima u comment hapa unaweza pita