Pilato 007
JF-Expert Member
- Sep 6, 2017
- 447
- 470
Wakuu wabari ya hivi punde ni zaidi ya nusu saa sasa bado majibizano yapo ya risasi tunayaskia......sauti inaskika haswa kwa wakazi wa sinoni,uswahili n.k watanipata..
Kwa wanaojua naomba watujuze asee.
Kwa wanaojua naomba watujuze asee.