Wadada wachokozi mmesha ambiwa kwa wakaka pekee inakuwaje preta unatia maguu??kwanza wish you special happy new year!then nirudi nyie mliweka kathread mkasema kwa madada pekee!!hatukuinbilia je nyinyi mmekengeuka???
dah budaa midem mi phantom ndo yenyewe bana
kitu 4 by 4 injini v8 ndo maana ake
huku ni kutushusha soko sie wanene....:redfaces::redfaces::redfaces:
huku ni kutushusha soko sie wanene....:redfaces::redfaces::redfaces:
usihofu. Hayo ni mapenzi yake yeye kama yeye.
</p><font face="Comic Sans MS"><font size="4"><font color="purple">mmmhhhh.............</font></font></font>
hahahahaaa andaa mbuzi kabisa wasupu na Ambulance,na kikaratasi cha maandishi ya mkono wako mwenyewe kuwa nisibughudhiwe ulikuja kwa hiari yako