Kwa udogo wa eneo la Israel na Palestina kwanini tusiwapeleke JWTZ kutuliza ghasia?

Jeshi la Israel la kawaida sana.
Kumbuka wspalestina hawana jeshi lkn wanapigana na jeshi la Israel lenye vifaa sophisticated halafu Wana misaada mingi tu toka magharibi lkn wanatolewa makamasi na wspalestina.
Imagine wspalestina wangekua na nchi na jeshi halafu wakapigana Israel isingeonekana kwenye uso wa dunia
 
Islaeli mziki mwingi nakumbuka miaka ya elfumbili walikuja Kenya kumkamata gaidi pale Nairobi walimkamata nawakamsafilisha kwanjia yaanga bilaataserikari yakenya kujua ikabidi waziriwa ulinziwakenya akajiuzulu
 
Wataishia kuolewa kule .
Mziki wa Mpalestina wote hao wanajeshi wako watapelekwa eda.
Akiingia Muisrael anawapeleka eda wote wawili,
Wanajeshi wako na Wapalestina wataambiwa walale bila chupi.
Wabaki tu hapo kupiga vichwa matofali,
Kule mziki ukianza umeanza no bullshit.
Ndo mana Israel anachapa tu maana wanajihami.
Palestina wako juu milimani,wakilianzisha ukiwa lelemama umekwisha,Ndo mana Jamaa anawapandia huko huko kuwachapa.
 
Mkuu umewaza nje ya BOX.


HAKIKA wazo lako si baya, ukizingatia tuna Askari makini nasi hapa nchini Alhamdulillah hatuna vitisho vikubwa vya Amani vya kuwashughulisha sana Askari wetu.

Lakini Mkuu kwa Uwezo wa kimafunzo, Teknolojia na Vifaa vya Jeshi letu haitakuwa rahisi kwenda kupambana na Jeshi la Wazayuni au Hamas kwani wao wameendelea sana Kiteknolojia (hasa Wazayuni).

Siku hizi katika Medani za kivita si idadi ya Askari tu ndo inayoamua Ushindi katika uwanja wa kivita bali na vitu vingine kama Teknolojia kuanzia Teknolojia ya Vifaa mpaka ya ukusanyaji Taarifa, yaani kujua adui yuko wapi? Ana silaha kiasi gani? Zenye uwezo gani? Analenga shabaha ya kutushambulia wapi? Na sisi tunapiga wapi?

Mathalan, Mossad (shirika la ujasusi la Israel) linasifika kuwa moja ya mashirika hatari kabisa Ulimwenguni hivyo sioni Urahisi wa Askari wetu na TISS wetu kufanikiwa katika kutuliza amani huko Palestina. Hata ikitokea tukaenda itatuwia vigumu sana kutimiza lengo.

Nadhani wazo lako tuligeuze maeneo ambayo kuna wepesi kwa Askari wetu kufanya kazi yaani kwa watu tuliowazidi mafunzo, Teknolojia, Vifaa na Uzoefu.

Btw Mkuu umewaza pakubwa sana, tunahitaji sana watu kama wewe.

View attachment 1783817View attachment 1783821
Tanzania tuna askar makini????
 
Kabla hatujaenda mbali naomba mleta uzi aniambie askari wangapibwa JWTZ walirudi hai baada ya vita ya BIAFRA kule NIGERIA.
Mawazo na ushauri wake akiwapelekea wasabato wanaweza kuja na solution nzuri zaidi.
 
FB_IMG_1620879487787.jpg

Mtuache tupumzike tumekesha kulinda mitihani ya kidato cha Sita😂😂😂😂
 
Israel na Palestina kwa sasa wapo vitani ila ni watu wachache sana kwenye eneo dogo sana, eneo lao linaingia mara 40 kwa Tanzania, eneo lao hata kwenye ramani ya dunia kama una matatizo ya macho inabidi uvae miwani.

Nmefikiria nmeona hata vijana wetu walio fiti wa jeshi letu wakienda huko sio ti watatuliza ghasia balo watapandisha hadho ya jeshi letu

Jeshi letu lipo fiti, tuliwazima Uganda, congo walituliza ghasia, visiwa flani (sio zanzibar) huko nako walituliza, Tuliwasaidia Mozambique kina Samora, n.k vitu kibao

View attachment 1783804
Atatupa furushi hilo.
 
Israel na Palestina kwa sasa wapo vitani ila ni watu wachache sana kwenye eneo dogo sana, eneo lao linaingia mara 40 kwa Tanzania, eneo lao hata kwenye ramani ya dunia kama una matatizo ya macho inabidi uvae miwani.

Nmefikiria nmeona hata vijana wetu walio fiti wa jeshi letu wakienda huko sio ti watatuliza ghasia balo watapandisha hadho ya jeshi letu

Jeshi letu lipo fiti, tuliwazima Uganda, congo walituliza ghasia, visiwa flani (sio zanzibar) huko nako walituliza, Tuliwasaidia Mozambique kina Samora, n.k vitu kibao

View attachment 1783804
Tatizo mnaamini jeshi lenu ni kila kitu eeeee!!!! Nikuhakikishie hawajakutani na vidume aisee mnafikiri kule kuna wapinzani mliozoea kuwaonea!??
 
Mkuu umewaza nje ya BOX.


HAKIKA wazo lako si baya, ukizingatia tuna Askari makini nasi hapa nchini Alhamdulillah hatuna vitisho vikubwa vya Amani vya kuwashughulisha sana Askari wetu.

Lakini Mkuu kwa Uwezo wa kimafunzo, Teknolojia na Vifaa vya Jeshi letu haitakuwa rahisi kwenda kupambana na Jeshi la Wazayuni au Hamas kwani wao wameendelea sana Kiteknolojia (hasa Wazayuni).

Siku hizi katika Medani za kivita si idadi ya Askari tu ndo inayoamua Ushindi katika uwanja wa kivita bali na vitu vingine kama Teknolojia kuanzia Teknolojia ya Vifaa mpaka ya ukusanyaji Taarifa, yaani kujua adui yuko wapi? Ana silaha kiasi gani? Zenye uwezo gani? Analenga shabaha ya kutushambulia wapi? Na sisi tunapiga wapi?

Mathalan, Mossad (shirika la ujasusi la Israel) linasifika kuwa moja ya mashirika hatari kabisa Ulimwenguni hivyo sioni Urahisi wa Askari wetu na TISS wetu kufanikiwa katika kutuliza amani huko Palestina. Hata ikitokea tukaenda itatuwia vigumu sana kutimiza lengo.

Nadhani wazo lako tuligeuze maeneo ambayo kuna wepesi kwa Askari wetu kufanya kazi yaani kwa watu tuliowazidi mafunzo, Teknolojia, Vifaa na Uzoefu.

Btw Mkuu umewaza pakubwa sana, tunahitaji sana watu kama wewe.

View attachment 1783817View attachment 1783821
Kuna mossad na kidon ni binadamu hatari usiwafananishe na vitu vya ajabu
 
Back
Top Bottom