Kwa Tukio lililomtokea Mama yangu 2009, Nimetokea kuuheshimu sana Ukristo na Wakristo wote

Ni meishia kusoma pale nilivo ona kwamba ulipeleke maombini, ni ka kuona kijana mpuuzi, ingekua hivo hata kwenye theater za hospitali kungekua na maombezi tu,........mtoto wakiume anae amini maombezi ya walokole ana vyashilia vya jinsia ya kike. "Soul diseases are treated spiritually and physical diseases are treated biologically" don't mixup things plz nyie walokole mna kua na wrong absolute belief kitu ambacho ni hatari katika jamii zetu za kiafrica
Dah, yani na waliokupa likes (wako.29) pamoja. na wewe ni wapumbavu sana. Ila tumeambiwa tuwapende hata wapumbavu maana kupitia upumbavu tunapata werevu. Acha chuki
 
Sio kila kitu cha hospital mkuu jitahidi kujielimisha
Mimi mwenyewe nilikuwa na tatizo la kutokwa na damu puani. Ila niliombewa kwa jina la Yesu kristo aliyehai.
Nikapona tangu 2010 kama sikosei mpk wala 2023 sijawahi toka na damu puani.
Yesu anaponya. Huu ni ushuhuda wangu
 
Kuondowa ubaguzi ambako kunaleta amani, maadili mema, mahaba kwa jamii.
Katika watu wanaongoza kwa ubaguzi ni waislamu.
Ukiwa na imani tofauti na uislamu tegemea kubaguliwa au kuawawa
Ndiyo maana hawajengi hospitali wakihofia wakristo wataenda kutibiwa ila cha ajabu hao waislamu wanaenda kutibiwa kwenye hospital za wakristo.
Ni salama sana kwenda kutafuta maisha kwenye nchi zisizo za kiislamu
 
Katika watu wanaongoza kwa ubaguzi ni waislamu.
Ukiwa na imani tofauti na uislamu tegemea kubaguliwa au kuawawa
Ndiyo maana hawajengi hospitali wakihofia wakristo wataenda kutibiwa ila cha ajabu hao waislamu wanaenda kutibiwa kwenye hospital za wakristo.
Ni salama sana kwenda kutafuta maisha kwenye nchi zisizo za kiislamu
Ndivyo mnavyodanganyana. Ukisoma huelewi basi hata kuona huoni?

Tembelea msikitini uone watu tofauti tofauti, wote wanasali bega kwa bega. Halafu fananisha na kanisani, kwanza wewe mbele kule kanisani huna nafasi.
 
Ni meishia kusoma pale nilivo ona kwamba ulipeleke maombini, ni ka kuona kijana mpuuzi, ingekua hivo hata kwenye theater za hospitali kungekua na maombezi tu,........mtoto wakiume anae amini maombezi ya walokole ana vyashilia vya jinsia ya kike. "Soul diseases are treated spiritually and physical diseases are treated biologically" don't mixup things plz nyie walokole mna kua na wrong absolute belief kitu ambacho ni hatari katika jamii zetu za kiafrica
Mbona huwa hamuwasemi wale wanaopeleka ndugu zao kwa waganga wa kienyeji...tena ni wengi na wanafanya kimya kimya..Au uganga sio mambo ya kiroho...
Tusilaumu au ku-attack au kujudge watu kwa jinsi akili zetu zinavyotuaminisha...Tuheshimu imani za wengine na misimamo yao...isitoshe hatupungukiwa na chochote...
 
Ni meishia kusoma pale nilivo ona kwamba ulipeleke maombini, ni ka kuona kijana mpuuzi, ingekua hivo hata kwenye theater za hospitali kungekua na maombezi tu,........mtoto wakiume anae amini maombezi ya walokole ana vyashilia vya jinsia ya kike. "Soul diseases are treated spiritually and physical diseases are treated biologically" don't mixup things plz nyie walokole mna kua na wrong absolute belief kitu ambacho ni hatari katika jamii zetu za kiafrica
Maombezi yapo Hadi labour ndugu.mimi shahidi.nesi kumuombea mmama ajifungue.Mtoa post nakukubali
 
Hakika Yesu kristo ni mtenda miujiza, wote wanaokupinga ni wachawi wameshawah kukutana na moto wa Yesu kristo ukawaubguza kwahyo wanaumia
 
Ni meishia kusoma pale nilivo ona kwamba ulipeleke maombini, ni ka kuona kijana mpuuzi, ingekua hivo hata kwenye theater za hospitali kungekua na maombezi tu,........mtoto wakiume anae amini maombezi ya walokole ana vyashilia vya jinsia ya kike. "Soul diseases are treated spiritually and physical diseases are treated biologically" don't mixup things plz nyie walokole mna kua na wrong absolute belief kitu ambacho ni hatari katika jamii zetu za kiafrica
Fyatuka Sana Ila omba yasikukute
 
Back
Top Bottom