Kwa Tukio lililomtokea Mama yangu 2009, Nimetokea kuuheshimu sana Ukristo na Wakristo wote


......


Ujinga mzigo.....
 

......


Ujinga mzigo.....
Na maisha unachagua uishije kikubwa usivunje sheria za nchi
 
Kwani kwa mwamposa wamejaa kina nani wakitafuta miujiza?? Acha kubisha tu km JUHA hata hufanyi uchunguzi we unaropokwa tu humu madai yako upate sifa
Ona ulivyokuwa mjinga na zile ni shuhuda za uongo 😅😅Mwamposa ni mganga tu.
 
Ni meishia kusoma pale nilivo ona kwamba ulipeleke maombini, ni ka kuona kijana mpuuzi, ingekua hivo hata kwenye theater za hospitali kungekua na maombezi tu,........mtoto wakiume anae amini maombezi ya walokole ana vyashilia vya jinsia ya kike. "Soul diseases are treated spiritually and physical diseases are treated biologically" don't mixup things plz nyie walokole mna kua na wrong absolute belief kitu ambacho ni hatari katika jamii zetu za kiafrica
Wewe ni mpuuzi na mtu usiyejua kabisa kuhusu Mungu
 
Sawa mimi mwongo thibitisha ukweli wako

Uthibitisho huu apa.....mwalimu wako aliokufundisha uongo,karopoka uongo....

Acha ulongo weyeee....Acha uchawa
 
Ona ulivyokuwa mjinga na zile ni shuhuda za uongo Mwamposa ni mganga tu.
Juha wewe unaropoka hapa bila ushahidi. Na hata ukipata utakazana kubisha tu ili uonekane wa maana. Mjinga ni ww na hao ndugu zako ktk imani wanaomtajirisha mwampopo
 

Uthibitisho huu apa.....mwalimu wako aliokufundisha uongo,karopoka uongo....

Acha ulongo weyeee....Acha uchawa

Kwenye mada huyo mwalimu aliyetajwa ni nani?
 

Uthibitisho huu apa.....mwalimu wako aliokufundisha uongo,karopoka uongo....

Acha ulongo weyeee....Acha uchawa

Mada yangu sijataja jina la hospitali wala mtumishi wewe unamtaja mtu huoni umechanganyikiwa
 
Ni meishia kusoma pale nilivo ona kwamba ulipeleke maombini, ni ka kuona kijana mpuuzi, ingekua hivo hata kwenye theater za hospitali kungekua na maombezi tu,........mtoto wakiume anae amini maombezi ya walokole ana vyashilia vya jinsia ya kike. "Soul diseases are treated spiritually and physical diseases are treated biologically" don't mixup things plz nyie walokole mna kua na wrong absolute belief kitu ambacho ni hatari katika jamii zetu za kiafrica
Yaaan wewe ndio mpuuz kweli kweli ficha ujinga wako basi
 
Mada yangu sijataja jina la hospitali wala mtumishi wewe unamtaja mtu huoni umechanganyikiwa
Rejea post yako no 9.....shida wewe ni muongo afu huna kumbukumbu....

Na hyo hospital ni ya mkoani....kwa huo mwaka hakuna case kama hyo
 
Back
Top Bottom