Ndio sijui shida ,unakubali ujinga nawe no mjinga ...Scripted hamna jipya hapo mfuate dm akakupe namba ya mnyakyusa😅😅Kuna uwezekano hujui shida ni nin ndo maana unaongea ujinga ujinga
Mtoa uzi unamjua personal na je amekushikia fimbo uaminiNdio sijui shida ,unakubali ujinga nawe no mjinga ...Scripted hamna jipya hapo mfuate dm akakupe namba ya mnyakyusa😅😅
Sasa huko si uchagani kwenu au?Uongo wa karne huku uchagan uislamu haupo kabisa😅😅
Muongo huyo hajawahi kuwa muislamu labda jina 😅😅na hilo jina hakuna labda ni ile familia baba sio muumini mpaka aruhusu mke kupelekwa kanisani...Mtoa uzi unamjua personal na je amekushikia fimbo uamini
Na kwani nimekuambia nahitaji namba ya mnyakyusa
Udini unakutesa sana
Mmekuwa wakristo baada ya miujiza😅😅😅huu uongo tafuta wasiosoma na wajinga ,hakun kitu kama hicho.Sasa huko si uchagani kwenu au?
Kwani muislamu ana alama ganiMuongo huyo hajawahi kuwa muislamu labda jina 😅😅na hilo jina hakuna labda ni ile familia baba sio muumini mpaka aruhusu mke kupelekwa kanisani...
Sio muislamu na hakuwa muislamu.
Mtoa uzi unamjua personal na je amekushikia fimbo uamini
Na kwani nimekuambia nahitaji namba ya mnyakyusa
Udini unakutesa sana
Sio udini hapa ni matapeli hata wale sijui watu wa majini ni hao hao ,huyo mwalimu wake ni huyu 👇👇Kwani muislamu ana alama gani
Mbona kikwete ni muislamu juzi alikua madhabahuni na akaongea
Usipende kuteseka kwa vitu ambavyo havina impact kwenye maisha yako mto uzi hata humjui lakin unateseka
Hukuwa muislamu 😅👇👇huyu ndio unataka kumpromoteHata nabii ISSAH na Mtume wetu MUHAMMAD hawakukubaliwa na kila mtu sishangai atakayeyabeza haya ila yakimkuta ataaminii
Kwenye ukristo ni kawaida mtu kuongea na Mungu, kutokewa na malaika au kwenda mbinguni sio ajabuSio udini hapa ni matapeli hata wale sijui watu wa majini ni hao hao ,huyo mwalimu wake ni huyu 👇👇
Mwl. Mwakasege: Nilienda Mbinguni nikaongea na Yesu na Musa
Wadau kwema? Nipo hapa nafuatilia Semina ya Neno la Mungu - Dodoma mubashara kabisa kupitia Upendo TV (Huduma ya Mana) Mwalimu Mwakasege naye anasema eti eti alienda Mbinguni akakutana na Musa, na pia akakutana na Yesu na akapiga nao story. Na kasema eti Yesu kamwambia yuko njiani anarudi...www.jamiiforums.com
😅😅😅😅😅😅😅😅Toa ujinga wako hapa.!!Kwenye ukristo ni kawaida mtu kuongea na Mungu, kutokewa na malaika au kwenda mbinguni sio ajabu
Tatizo kubwa la uislamu yaan mnalazimisha watu waaamin nyie mnachoamin
Maisha hayako hivyo mwanadamu as long ana uhuru wa kufikiri na kuamua basi hatuwez kuwa sawa
Yaan mtu kwa sababu haamin unachoamin unamwita mwingo basi unashafari ndefu sana kifikra
Unapokuwa hujui ufanye nini, Sali. Ukiona mtu yupo hospitali ujue bado kuna tumaini.Ni meishia kusoma pale nilivo ona kwamba ulipeleke maombini, ni ka kuona kijana mpuuzi, ingekua hivo hata kwenye theater za hospitali kungekua na maombezi tu,........mtoto wakiume anae amini maombezi ya walokole ana vyashilia vya jinsia ya kike. "Soul diseases are treated spiritually and physical diseases are treated biologically" don't mixup things plz nyie walokole mna kua na wrong absolute belief kitu ambacho ni hatari katika jamii zetu za kiafrica
Kama kwenye uislamu wanavyoweza ongea na majini😅😅😅😅😅😅😅😅Toa ujinga wako hapa.!!
Hapo ndipo palipo na ujanja ujanja, Wanahoji baada ya kukosa matokeo, hujibiwa kwanza umkili Yesu ndio maana ufanye kazi.Waislamu kibao wanajaa kwa mwamposya...so waache watu wautafute kule roho yao inapowapa amani..
😅😅Ukristo haujui malaika ....Majini yapi tena ? Yale ya waganga na hayo mnayoyatoa huko kanisani kila siku mbona ni nyie tu mnapata majini?😅😅Kama kwenye uislamu wanavyoweza ongea na majini
Kwenye ukristo watu pia wanaongea na malaika
Ajabu ni nini